Recent content by SOKSHOTO

  1. S

    JamiiForums Tanzania Majengo yenye nyufa Kariakoo yanayokaribia kudondoka

    Upele umepata mkunaji tutayajuwa mengi tu.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

    Unatakiwa kuwa na akili ya vita. unaona unamudu kumbe unaanza na p jamii. wakija mgambo mambo yanabadilika. jkt noma wakija wenyewe kazi inaisha vita akili bwana.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

    uk waoga tu na wamebaki na mdomo kama m bongo vitendo hakuna. Tazama anatishiwa vita vya mtandao anapiga kelele kweli anauwezo wa kusimama mwenyewe akapambana siamini. Ngoja inyeshe tuone panapo vuja.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Viongozi wa Dini Kugeuka Wasemaji wa Vyama vya Siasa/Upinzani ni Kuhatarisha Mstakabali wa Amani ya Nchi

    Unapokuwa kiongozi wa dini na hapo unataka siasa siyo kweli maana unaonyesha ulivyo yaani yakaisali unayataka na ya mungu pia kwenye madhabahu siasa kweli tuwe na hofu ya mungu mahubiri hakuna kampeni tu halafu mnatudanganya au ni kwavile wanatoa sadaka kubwa. Mjuwe wamesha pola huku viongozi wa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Mwaka huu mpaka kieleweke hata abaki mgombea mmoja ndiyo wakwetu, kususa no .
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais tafadhali kula kichwa cha RC Mtanda, kitendo alichofanya CCM Kirumba kimakuharibia kuelekea uchaguzi mkuu

    mpira unafaida kubwa sana ukiwa unaujuwa lakini kama haujuwi ni taabu nyingine na ndiyo maana wanaona ni kitu cha kawaida. Hebu chukulia wachezaji na mashabiki zao wote wawe wavuta bange ingekuwaje hapo.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Rais tafadhali kula kichwa cha RC Mtanda, kitendo alichofanya CCM Kirumba kimakuharibia kuelekea uchaguzi mkuu

    Hata akiliwa kichwa haitakusaidia au kwa sababu yeye ni yanga tulia utajuwa tu.
  8. S

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Wagombea 20 wa CHADEMA Kata ya Mwaya waswekwa Gerezani kesi ya jinai ya kumtishia mtendaji walipoenda kudai haki baada ya kuenguliwa

    Write your reply...tambuwa kuwa penye ridhiki pana fitina dawa yake ni kukomaa hadi kieleweke na siyo kukata tamaa.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ikiwa Tundu Lissu ameridhia kununuliwa gari ya kifahari na wananchi. Akiwa Rais atafuta manunuzi ya V8?

    bora aliye changiwa kuliko aliye ombewa
Back
Top Bottom