Recent content by sokowele

  1. sokowele

    Erick Kabendera: Rais Samia “Thucydides Trap” haitakuacha salama

    Je, kuna ukiukwaji wa katiba kwa Makonda kutoa maagizo kwa mawaziri na watendaji wengine wa serikali? Nijuavyo kazi ya chama ni kuisimamia serikali na hicho ndicho akifanyacho katibu mwenezi wa CCM. Tukumbuke kipindi Cha kikwete Kinana alitembea maeneo mbalimbali ya Tanzania na kuja na hoja ya...
  2. sokowele

    Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

    Endelea kupambana ila tambua hata u DC hutopewa, utaendelea kuimba mapambio hewa hadi ukamilifu wa dahari.
  3. sokowele

    Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

    MU-HU-NI. anahoji uanachama wa Bashiru ndani ya CCM baada Bashiru kukemea machawa. Mbona hakuhoji mapema?
  4. sokowele

    Kesi ya Mdee na wenzake 18 yaitia aibu CHADEMA

    Hawana majibu zaidi ya matusi na kejeli.
  5. sokowele

    Zungu akiuka Kanuni za Bunge kuiokoa Serikali!. Pareso ang'ang'ania Shilingi! Almanusura!

    Unaongelea bunge Gani Mkuu? Hapa tz au nchi jirani? Kaazi kweli kweli.
  6. sokowele

    Balozi Polepole kuanzia chuo cha Diplomasia apigwe msasa then akutane na Rais kabla ya kutimkia Malawi

    Tanzania yetu ina watu wachache sana wa kufikili kama unavyo fikili wewe, wengi huruhusu chuki na wivu kutawala wakati wa kuchangia. Jamaa anajaza CV kibao watanzania wahuni wanamkejeli. Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
  7. sokowele

    Combination ya Nape, Makamba na Mwigulu nchini Dubai sina imani nayo kabisa

    ACHA WAHUNI WATUNYOOSHE, NI WAKATI WAO NA HAKUNA WA KUWAZUIA.
  8. sokowele

    Ombi kwa Rais Samia: Mrudishe Kalemani Wizara ya Nishati

    Acha wahuni watunyooshe
Back
Top Bottom