Je, kuna ukiukwaji wa katiba kwa Makonda kutoa maagizo kwa mawaziri na watendaji wengine wa serikali? Nijuavyo kazi ya chama ni kuisimamia serikali na hicho ndicho akifanyacho katibu mwenezi wa CCM. Tukumbuke kipindi Cha kikwete Kinana alitembea maeneo mbalimbali ya Tanzania na kuja na hoja ya...
Tanzania yetu ina watu wachache sana wa kufikili kama unavyo fikili wewe, wengi huruhusu chuki na wivu kutawala wakati wa kuchangia. Jamaa anajaza CV kibao watanzania wahuni wanamkejeli.
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.