Recent content by sokolaboro

  1. S

    Unapozuia raia kutoa mawazo yao kama unazuia adui mwenye vifaru

    jana niliona maandamano yakifanyika. mapolisi wakiandamana kila mtaa na mabunduki hakika maandamano yalifanikiwa. maana mapolisi waliandamanishwa.
  2. S

    Kosa la CHADEMA kumpokea Lowassa linatumiwa vizuri na CCM

    CCM wanaisoma namba wanaowajibishwa wote ni CCM labda uwe hauna akili ndipo utaendelea kuitetea CCM
  3. S

    Kosa la CHADEMA kumpokea Lowassa linatumiwa vizuri na CCM

    Sema macdm wangangapi wameshughulikiwa na maccm wangapi wameshughulikiwa ndipo useme wapi kuna mafisadi, cha ajabu huoini serikali ya ccm ndiyo iliyokuwa inafisadi unamsema mtu ambaye hata serikali ya CCM haiwezi na haijaweza kumshtaki hata baada ya kuwa amehama na akasema mwenye ushahidi aende...
  4. S

    Kosa la CHADEMA kumpokea Lowassa linatumiwa vizuri na CCM

    Mpaka sasa niambie ni fisadi gani ndani ya CDM ameshughulikiwa kama yupo. Walioshughulikiwa ni ma ccm. Kila mahali ni maccm, Sina uhakika kama unajua kinachoendelea ila nadhani unaushabiki tu, pole.
  5. S

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Inaonekana zito amepoteza kwa kutokuwepo CDM hata huko aliko hajaridhika. Ama sivyo asingekuwa anasemwa kuhusiana na CDM. CDM hawajasema wanamhitaji aendelee na mambo yake. Lakini kama atakuwa akifanya kitu washabiki wake wakitumie kukoga CDM ni kuonyesha kuna alichopoteza na anachokosa akiwa...
  6. S

    Mbowe, ni wakati wa fikra mbadala

    Je mawazo mapya ni Mbowe kutoka katika uongozi ndio wazo jipya. Ni nini kilichokataliwa akiwepo Mbowe? Kama ni ushindi labda wewe tu ndie hujui uchakachuaji wa matokeo. Huwezi ukasema kashindwa wakati uchakachuaji uko dhahiri, ubadilishaji wa matokeo kupitia tume unajulikana. Unashangaza...
  7. S

    Rais Dr. Magufuli na Mh. Majaliwa: Karata za CCM kisiasa, zitafanikiwa?

    Wewe unayeendekeza ukabila huna akili. Kinachoongoza sio kabila Bali ni MTU. Huwezi ukachagua kiongozi mbumbumbu eti kwa sababu ni kabila lako ukamwacha MTU anayefaa kwa sababu tu ni mchaga au Masai. Utakuwa unaonyesha kwamba wewe huna akili.
  8. S

    Dr. Sware Vincent Semesi mbunge mteule viti maalum CHADEMA ni lini amekuwa mwanachama wa CHADEMA?

    Saccos ina wabunge, ina madiwani, inaong hza halmashauri!! Saccos,naipenda maana zingine hazina , unajionyesha ulivyo mtupu usivyoweza kutumia akili yako mwenyewe bali unaimba wimbo usioujua. Umekaririshwa vitu usivyovijua. Tumia akili yako. Hapa unajionyesha usivyo na akili. Ni sawa na mtu...
  9. S

    CHADEMA kukutana na Waandishi wa Habari - Nov 8, 2015

    Manaeno yako hayana maana. huwezi kulazimisha watu waseme unapotaka waseme, Wewe ndiye utaacha kupiga kura sisi tutapiga. Hata kabla ya uchaguzi sisi tulikuwa UKAWA na tunaendelea,. mliodandia mnaweza kushuka.
  10. S

    Hii ndiyo kampeni Mpya, Usiache kupiga kura

    Wengine wanakimbia sisi tunachechemea kawa sababu ya serikali za CCM.
  11. S

    Mbowe, ni wakati wa fikra mbadala

    Mawazo mapya hayakatazwi na uongozi wa Mbowe, toa hayo mawazo mapya yafanyiwe kazi. Sio lazima mawazo hayo mapya yasubiri mpaka atakapotoka kwa njia ya uchaguzi.
  12. S

    Wa kwanza kumkumbuka Kikwete

    Mimi na wengine wengi hatutammisi kwanza tunafurahi amemamaliza mda wake tulikuwa tumemchoka. Hatutammiss. Tummiss kwa lipi, EPA, Nawajua wafanya biashara was madawa ya kulevya. Walioiba hela za Epa warudishe. Jatutammisss.
  13. S

    Mbowe, ni wakati wa fikra mbadala

    Kwani Mbowe akiwa mwenyekiti CDM haiwi na demokrasia zaidi? Kwani akiwa mwenyekiti wewe unakatazwa kuleta mawazo mapya yakafanyiwa kazi. Mpaka aondoke? Kwani sasa hivi CDM haina sura ya kitaifa, mpaka aondoke. Wewe huna lolote bali wivu tu. Mimi nataka Mbowe aendelee kuongoza. Mawazo yako...
  14. S

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Kupitia mbowe tangu amekuwa kiongozi wa Chama kimeendelea mpaka kuwa chama kikuu cha upinzani. Kwa hiyo wewe unayedhani hakuna upinzani anzisha chama chako cha upinzani uwe mpinzani sisi utuache na viongozi wetu full stop. Maana nakuona wewe si CDM wala haukitakii mema CDM. Akili zako...
Back
Top Bottom