kuachana na mpenz wako sio sababu ya wewe kuanza kutangaza kasoro alizo nazo au mapungufu yake mbele za watu, huko ni kushindwa kuwa na hekma, na kwanin unatangaza baada ya kuachana kwanin hukutangaza wakat bado ni wapenz? Mbona yeye hatangaz udhaifu wako kwa watu? Wala kuachana sio sababu ya...
MUACHE AENDE
mapenz yana nafasi yake lakini mapenz si kila kitu katika maisha, kumpenda mtu asie kupenda nikujisumbua na kujiumiza bule kwa kujisababishia maumivu na mateso yasiyo kuwa ya lazima.
Kama mtu hakujali wala haeshim hisia zako kwake hakuna ulazima wa kuendelea kulazimisha penz kwan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.