Recent content by sodmg

  1. S

    Jambazi mstaarabu

    :A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
  2. S

    Wapi naweza kupata bidhaa za mazao ya shambani yaani"MALI MBICHI"

    wadau kwa kipindi hiki mazao yapi yanapatikana kwa wingi mikoa ya pwani na mikoa karibu na dar?
  3. S

    natafuta soko la mabanzi kwa jumla:dodoma au dar

    bei 2000 ni mkuu..
  4. S

    Biashara ya Kusafirisha NDIZI toka MBEYA

    duh..hii post wajasiriamali wamegoma kuchangia
  5. S

    natafuta soko la mabanzi kwa jumla:dodoma au dar

    ni ya miti ya pines,ft 12!yanatoka mafinga iringa,bei maelewano!nime ku'pm
  6. S

    natafuta soko la mabanzi kwa jumla:dodoma au dar

    bei maelewano mkuu..inategemea na mzigo kiasi gani utahitaji,lakini kwasababu nauza jumla bei itakuwa chini kulinganisha na bei ya rejareja
  7. S

    natafuta soko la mabanzi kwa jumla:dodoma au dar

    tunasambaza mabanzi kutoka iringa,kwa wateja hapa dar wanaohitaji tunapokea oda ..ni PM Updates: mabanzi bado yapo,ni mti wa pines,ft 12,tunapokea oda,mzigo unaletewa mpaka mlangoni!bei ya jumla 2000!
  8. S

    biashara ya kusafirisha mabanzi kutoka iringa kwenda dar au dodoma!

    wadau katika harakati za kuchunguza biashara ya kuanzisha na haka kamtaji kangu kadogo,nimekutana na wazo la kusafirisha mabanzi kutoka mafinga iringa kupeleka dar au dodoma,nimechagua mikoa hii kwasababu ni mwenyeji,na napenda niwenauza kwa jumla!yoyote mwenye uzoefu na hii biashara...
  9. S

    Mnaojenga kuweni makini mnaponunua mbao, kuna wizi wa kutisha!

    msaada anayejua wapi nitapata mabanzi kwa hapa dar!..na bei ipo vip?
  10. S

    Ajali basi la majinja

    gari linaitwa majinjah...linafanya safari za dar -mbeya!lilikua linatoka mbeya kwenda dar!hakuna mtu aliyepoteza maisha
  11. S

    ARUSHA: Kinara biashara meno ya tembo anaswa

    mhhh!alikua anatafutwa kwa miezi miwili,mara alikua anatafutwa kwa muda mrefu!tumeshawazoea,kwasababu kila kitu ni upepo,sahizi wanatengeneza mazingira ya upepo kupita!same old shit
  12. S

    ushauri kufanya kilimo

    mkuu hapo katika kusindika!nimekua nikifuatilia post nyingi zenye mada za ufugaji na kilimo na nawewe ni mchangiaji sana!,lakini kusindika sijabahatika kuona,kama una ujuzi wowote na hiyo kitu mwaga maujuzi hata kama kwa kuanzisha post nyingine then maswali yataanzia hapo!
Back
Top Bottom