He who alleges must proof is not only a civil law principle, but rather evidence principle applicable to both civil and criminal cases. The difference is the burden of proof. In civil cases the burden is on balance of probabilities and in criminal is beyond reasonable doubt as you have properly...
Unaweza kufungua kesi lakini grounds zako zitakua weak dhidi ya zile za CRDB. Unaweza kupoteza gharama nyingi za kufungua kesi na iwapo CRDB watashinda utalazimika kuwalipa gharama za kesi (costs). Hivyo sikushauri kufungua kesi maana you have a very little chance of winning.
Zipo aina fulani za kazi zinataka watu single na utaoa baada ya kufanya kazi. Lakini baadhi ya waajiri hupendelea mtu aliyeoa maana anaweza kuwa more responsible and matured...lakini hizi zote ni dhana tu na hakuna ubaya kuweka marital status au kuiacha.
Wewe ndio unaelewa hivyo, Ila wengi hawawezi kuelewa. CCM wanajua wanachofanya but wanatumia ujinga wa watu kuwaingiza chaka. They know what they are doing. Kumbuka hawajali population ndogo ya elites ambao wanaweza kuchambua na kuchanganua mambo...wapo busy na ignorant mass...
Itachukua muda mrefu sana kupata katiba kupitia Twitter. Watanzania wengi hasa vijijiji hawaijui hiyo Twitter, hivyo serikali haijali sana. Ni Imani yangu around mwaka 2030-2040 Tanzania utakua na katiba mpya. Na ifahamike asiyetaka katiba mpya ni CCM Kwani Kikwete alitaka kutuachia katiba mpya...
Hii dhana kwamba Sabaya alimkosesha Mbowe Ubunge ina walakini. Kwani ukiangalia karibu majimbo yote yameenda CCM uchaguzi wa 2020.
Sasa kuna kipi cha ajabu alichokifanya Sabaya? Hata kama ingekua ni kweli alimdhibiti Mbowe hakupaswa kumdhibiti kimabavu. Pia nafikiri si kazi ya DC kudhibiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.