We mama unafikiri upo pekeee yako. Kapike ujiii .mwache President apige kazi. Mlikuwaa 400 na usheeee what so special about you. Au umekopaa ukatoaa rushwaaa . Unaboaaa
Hongera Sana BOT it's right move. Itasaidia kulazimisha mabenk kupeleka hela mtaani l mean kwa wakopaji Badala ya kununua hati Fungani.
Serikali ichukue hatua ya pili kulipa wafanyabiashara ili banks wawe na imani nao ..... natumaini serikali ikifanya hivyo na kutoa kazi mpya kwa...
Mwenyekitiii mboweee unamwona Mwakyembe waziri wakati wewe ulibadilisha gia angani ukamkabidhi fisadi kugombea urais
MBOWE YOU HAVE NO MORAL AUTHORITY TO SPEAK MKUU KUHUSU UFISADII ......ANGALIA AKILI YA YULE JAMAA ALIYEKUWA ANAKUSAIDIA MITIHANI ZZK AMEMPA PROF MUHONGO BIG TASK KULIKO...
Rais haongozi kwa tuhuma ana vyombo vya kuchunguza ndio maana alitumia muda mrefu kupata information Zao. Tumia ubongo kufikiri .
QUOTE=Jay One;14837681]Magufuli was not prepared well to lead as a Head of the State...!!!
Ila Mungu amuongoze, alianza vizuri.. ila baraza la mawaziri...
Tulia nani asiyejua Dr Tulia ni mtoto wa Dada yake Dr Migiro. Mama mdogo akapendekeza apewe unaibu Mwanasheria Mkuu?
JK alimtaka Migiro kuwa Rais na Membe akashindwa wakachukua mrengo wa mbali for their interest ....Kuna nini .....Zitto amejenga hoja Zungu anakubalika na ingekuwa kuongoza ni...
Nimekupata Mkuu. Naona kuna king wanataka kumwingiza baada ya hapo ni Maisha bora kwao na John ataumia sana kwa mapenzi yake ila atakuwa hana cha kufanya. Hawataki awe na watu wenye msimamo ili waendelee kutumikaaa...maskiniii naumiaaa ila Nina imani na John na mapenzi yake kwetu. John usiamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.