jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,141
- 29,670
Ni jukumu letu kama wanaJF na watanzania wazalendo kuielimisha jamii kwa kuleta mijadala yenye afya na ile ya kufikirisha.
Tuachane na umbea kutoka kwa bloggers waliothariwa na background mbaya za utotoni mwao.
Tuachane na tabia ya kushare udaku wa Instagram na badala yake tujadili matamko na hoja critically!!
Leo hii katika uzinduzi wa hostels za wanafunzi wa UDSM zilizojengwa kwa ufanisi na kwa bei nzuri nimemsikia mheshimiwa Rais akiongelea faida mojawapo kati ya nyingi za Tanzania kufungua ukurasa mpya wa kidiplomasia na Israel...hapa nimemsikia Rais akitaja idadi kubwa(watalii 600) ya watalii kutoka Israel Taifa la Mungu waliokuja kutembelea Tanzania mara baada ya kuhuisha uhusiano wetu wa kibalozi na Israel.
Rais ameendelea kuasa kuwa mwenendo wa kidunia wa sasa tunahitaji marafiki wengi zaidi ya maadui kwa maslahi ya nchi yetu.
Amesisitiza kuwa kazi ya ukombozi tuliifanya sana kiasi cha kusahau maendeleo yetu.
Kwa sasa Tanzania haina haja ya kushikilia misimamo isiyo na tija bali misimamo itakayotujengea marafiki wengi zaidi.uadui wa kati ya nchi zao usiwe uadui wetu.
KWA MAONI YANGU RAIS AMEWEKA MSIMAMO MPYA LAKINI KWA MUKTADHA ULEULE WA NON ALIGNMENT MOVEMENT...ILA KWA SASA NCHI IJIKITE KATIKA KUANGALIA MASLAHI YAKE KWANZA !
KUMBUKUMBU:Rais alimkaribisha mfalme wa morroco huku msimamo wa Tanzania kuhusu Polisario ukibakia vilevile...tendo hili limefanya morroco kuingizwa kwenye umoja wa Africa na pengine kulegeza msimamo wake dhidi ya Polisario(wataalamu na wafuatiliji watagundua hili)
kwa wadau wenye weledi wa ki-great thinker njooni tujadili.
Cc: nguruvi @pasco Mzee Mwanakijiji Lizaboni
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Tuachane na umbea kutoka kwa bloggers waliothariwa na background mbaya za utotoni mwao.
Tuachane na tabia ya kushare udaku wa Instagram na badala yake tujadili matamko na hoja critically!!
Leo hii katika uzinduzi wa hostels za wanafunzi wa UDSM zilizojengwa kwa ufanisi na kwa bei nzuri nimemsikia mheshimiwa Rais akiongelea faida mojawapo kati ya nyingi za Tanzania kufungua ukurasa mpya wa kidiplomasia na Israel...hapa nimemsikia Rais akitaja idadi kubwa(watalii 600) ya watalii kutoka Israel Taifa la Mungu waliokuja kutembelea Tanzania mara baada ya kuhuisha uhusiano wetu wa kibalozi na Israel.
Rais ameendelea kuasa kuwa mwenendo wa kidunia wa sasa tunahitaji marafiki wengi zaidi ya maadui kwa maslahi ya nchi yetu.
Amesisitiza kuwa kazi ya ukombozi tuliifanya sana kiasi cha kusahau maendeleo yetu.
Kwa sasa Tanzania haina haja ya kushikilia misimamo isiyo na tija bali misimamo itakayotujengea marafiki wengi zaidi.uadui wa kati ya nchi zao usiwe uadui wetu.
KWA MAONI YANGU RAIS AMEWEKA MSIMAMO MPYA LAKINI KWA MUKTADHA ULEULE WA NON ALIGNMENT MOVEMENT...ILA KWA SASA NCHI IJIKITE KATIKA KUANGALIA MASLAHI YAKE KWANZA !
KUMBUKUMBU:Rais alimkaribisha mfalme wa morroco huku msimamo wa Tanzania kuhusu Polisario ukibakia vilevile...tendo hili limefanya morroco kuingizwa kwenye umoja wa Africa na pengine kulegeza msimamo wake dhidi ya Polisario(wataalamu na wafuatiliji watagundua hili)
kwa wadau wenye weledi wa ki-great thinker njooni tujadili.
Cc: nguruvi @pasco Mzee Mwanakijiji Lizaboni
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA