Recent content by Soaiod

  1. S

    Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!

    Shida ya waandishi wengi wengi wa habari Tanzania ni wapenda vyeo ,na huyu jamaa Ili abakie katika nafasi aliyo nayo nilazama awe smart chawa
  2. S

    Tahadhari: Mbowe usipobadilika, kuna siku utazomewa kama Masauni

    Mbowe ni kiongozi , watu hawana budi kutambua hili, alafu kuna mambo yanahitaji wisdom na sio emotion katika kuyatatua. Tukio lile ni mtego mkubwa Sana Kwa Mbowe angeshindwa ingeonesha hafai kuwa kiongozi wa chama kikubwa kama chadema.
  3. S

    Al Jazeera hawaoni mauaji ya Ukraine wanaona Gaza tu?

    NI kama Chanel zote zanazo milikiwa na muslm countries wamehamia Gaza sio tu Al-Jazeera hata TR nao ndio Yale yale kuonesha waaze na Watoto.
  4. S

    Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

    Sasa unafikiri wa china hawana akili wanajua wakiioboresha hii Kwa viwango vya kisasa iwe ya umeme that's means viwanda vyao vyakutengeneza trucks vitakosa soko kama haitoshi that's means viwanda vyao vya kutengeneza mabasi vitakosa masoko, yaa kinachofanyika hapa ni kama jamaa (wachina...
  5. S

    Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

    Pesa hiyo Kwa nafasi yake mbona ndogo , ukiongea hivyo kwa wafanyabiashara hata wa nguo hapo kariakioo watakushangaa.
  6. S

    Zambia gizani, Raia kupata umeme kwa Saa 3 tuu kwa siku

    Mwezio akinyolewa wewe tia maji nchi za kusini mwa Africa zilikumbwa na ukame mkali msimu wa mvua uliyo pita sasa huwezi jua mabadiliko ya hali ya hewa Kwa msimu ujao Kwa nchi zetu Africa mashariki , jambo ambalo tunapaswa kuliwekea katika mikakati ni kuwa alternative source ya power iwe solar...
  7. S

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Hivi kumbe kabla ya kwenda depo wanaunganishwa katika mfumo wa payroll
  8. S

    Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi barani Afrika mwaka 2024

    Labda sababu nchi hizo zimekuwa katika vita ndio Maana zimewekwa kwenye hiyo rank
  9. S

    Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

    Kitu ambacho nimejifunza na nina jifunza kuhusu baadhi ya watanzania tunapenda kumind vitu visivyo na msingi ,yaani anaweza kuwa kiongozi anafanya vizuri sana katika majukumu yake let's say ni daktari,injinia, waziri lakini akitokea anaongea kingereza alafu akakosea kidogo tu kuongea ,basi...
  10. S

    Mkoa wa Kilimanjaro kinara watu wake kuishi umri mrefu Zaidi Kitaifa

    Nahisi kitu kinachofanya life span ya watu mkoa wa Kilimanjaro kuwa juu ni life style hasa katika ulaji sababu ya ubahili mfano mpare chakula yake ni makande na mchaga ni ndizi wanakula kitu original na wakienda kusaga mahindi hawakoboi ,alafu kwenye mambo ya mboga wengi sababu ya ubahili...
  11. S

    Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

    Hiyo ni defence mechanism, baada ya kuona wamewa disappointe watu licha ya matangazo lukuki waliyo yatoa hapo nyuma sasa Ili pate public sympathy lazima ajibaraguze Kwa kufanya vile by the way wala yale machozi sio cha moyoni.
  12. S

    Watu wa kukera zaidi duniani ambao hubidi tu kuwavumilia

    Wapinga Chanjo ,hawa ni watu wenye kutaka umaarufu tu ,kimsingi huwezi kusema kwamba chanjo ni mbaya na kwamba ina madhara hivyo watu wasusie na wakati mama akiwa mjamzito ataendenda hospitali atachanjwa bila bughuza yeyote,mtoto akizaliwa ataenda clinic atapata Chanjo zote in different series...
  13. S

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Maximum ya idadi majina yanayo hitajika hivi ni mangapi ?
  14. S

    Inter-Parliamentary Union President Tulia Ackson meets President Putin in Peterburg

    Having a chance of meeting with Putin somehow is a privilege for her, as Tanzania is nearing election, it may be a political millage to allure electorate . Time will come this event will be used as token to convince people of Mbeya town to bring her back again because she is internationally...
  15. S

    Uzi wa tafiti na Saikolojia

    Ukiona mtoto ananyonya kidole basi ni kwamba kipindi angali tumboni mwa tumbo la mama yake huyo mama yake alikuwa akijiriwadha Kwa kujingiza kidole sehemu moja nyeti mwilini mwake.
Back
Top Bottom