Recent content by sntambism

  1. S

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    kama unahamu ya kuongea kichina kunywa tshintao
  2. S

    Nitawasilisha hoja tatu kwa chama changu CHADEMA

    Hapo kwenye uraia pacha bado sijakubaliana na wewe jk alitoa nafasi kwa watu wengi waliokua nje ya nchi lkn walichokifanya wanajua wenyewe
  3. S

    Huyu nabii kesho atafutiwa usajili wa kanisa walah

    Ujinga tu kama haiwezi kupanda ndege usitoe maneno machafu kwan IPO siku itakubidi upande ndege
  4. S

    Mwaka 1992 nilipanda Boeing 737 kwa at 19000/= DSM to Mtwara

    Kipindi hicho us dollar against tsh ilikua kiasi gani mkuu
  5. S

    Mtanzania ninayeishi China - Liaoning province. Niulize chochote kuhusu China

    Mkuu niunganishe na hao wateja wa pembe za ng'ombe nifanye biashara
  6. S

    Mtanzania ninayeishi China - Liaoning province. Niulize chochote kuhusu China

    Mkuu kwa sasa upon mkoa gani me nipo hainani haikou
  7. S

    Mbunge Peter Msigwa wa CHADEMA amsifia Rais Magufuli kwamba anajali vyama vyote

    Msigwa katumia akili sana aka mzee wa akili kubwa
Back
Top Bottom