Makonda, Gambo na wengine wa aina zao wakishindwa kuwa Wabunge wanapowania itakuwa aibu kubwa kwao na kituko cha karne!

Makonda akipitishwa na vikao vya chama chao lazima awe mbunge, ila Gambo ndio sijui hata kama atapitishwa, aombe Mungu sana.
 
Kuna aina mbili za viongozi wa mikoa na wilaya wanaowania Ubunge. Wapo wale wanaowania kwenye majimbo ambayo hayako kwenye mikoa au wilaya walizokuwa wakizioongoza. Na wapo wale ambao wanagombea kwenye majimbo ambayo yapo kwenye mikoa na wilaya walizokuwa wakiongoza.

Nawazungumzia waliokuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kati ya wakuu wa mikoa na wilaya wa naowania Ubunge kwenye majimbo yaliyopo kwenye mikoa waliyokuwa wakiiongoza. Makonda anawania Kigamboni ya Dar es Salaam na Gambo anawania Arusha Mjini kule Arusha.

Kwa jinsi walivyokuwa wakijipambanua, kujitangaza na kuonekana kama wachapakazi na watatuzi wa changamoto za wananchi wao huku wakijisifu kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM, ni rahisi kuamini kuwa wana nguvu kubwa ya kuwaunga mkono ndani na nje ya chama chao cha Mapinduzi.

Leo, zoezi la kuchukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania Ubunge ndani ya CCM limekamilika. Sasa unasubiriwa mchakato wa ndani ya chama kuwapata wagombea wa Ubunge katika majimbo husika. Makonda, Gambo na wanaofanana nao kwa jinsi walivyojichora hawapaswi kushindwa.

Kushindwa kwenye majimbo yao, ndani ya chama au kwenye uchaguzi mkuu, itakuwa ni aibu na kituko cha karne. Itawezekanaje 'wachapakazi na watekeleza ilani' kama Makonda na Gambo kushindwa? Kama ni kweli walikuwa wakiwatumikia vyema wananchi, wanapaswa kutunzwa kichama na wananchi wao.

Karibu ukweli utajianika!
expand...
Ndugai na Majaliwa - mmoja wao asubiri kuugulia maumivu tu endapo dogo atashinda ubunge.

asipokatwa halafu akashinda ubunge, ataukwaa uspika au nako akifanyiwa figisu na wabaya wake chamani basi babake atampa u PM lazima.

akikatwa ubunge, babake atamteua viti maalumu na kumpa portfolio ama ya home affairs ama ya defence ama atamrejeshea u RC wake.

Bashite asingeweza kuacha u RC bila ya kwanza kuchanga karata zake vyema na babake. huyu dogo as long as babake yupo madarakani, ni bata batani kwa kwenda mbele!
 
Wala usipoteze muda kuwaza hayo, awe Makonda ama Gambo hakuna anayeweza kupenya katika kinyang'anyiro cha kura za maoni CCM mwaka huu. CCM Dar na Arusha imekaa kimkakati sana kuwaangusha kirahisi hao makada. Hawapendwi kabisa na wanaCCM. Ni wataabishaji tu.

Kama huamini, jipe muda.
Utakuja kushuhudia hapa hapa.
 
Bashite katumiwa na Magu kufanya matukio mazito sana ya kikatili.

Kinachoendelea, yeye kamtuma apate ubunge halafu afanywe spika ili awe na kinga post-2025 ( sheria washapitisha )

So Tusichoshane :)

Mtu muongo miaka 5 mfululizo, halafu aje aaminike kwa kikauli kimoja tu

Lakini, kwa mjibu wa katiba ya nchi. Spika siyo lazima atokane na wabunge, ila awe na sifa za kuwa mbunge(rejea sifa za mtu kuchaguliwa kuwa mbunge katika kayiba ya nchi).

Naibu spika ndiye lazima awe mbunge(wa kuchaguliwa au kuteuliwa).
 
Umekuja kufanya nini hapa Duniani hapa unaona kushindwa kwa mtu aliyejaribu ni aibu? Isitoshe aibu ni kwa yule aliyejaribu na kushindwa au wewe ambaye hakuna kitu umefanya maisha yako yote hapa Duniani zaidi ya kukaa kusubiri Binadamu xyz anayejaribu akishindwa umcheke? Wakishindwa maisha yataendelea ndiyo Uanaume huo, lkn angalau watakuwa wamejua limitations zao, kurekebisha kama wakiweza na kusonga mbele na maisha, kuna mengi zaidi ya kufanya, ...
Umeandika point kubwa sana.
 
Kuna aina mbili za viongozi wa mikoa na wilaya wanaowania Ubunge. Wapo wale wanaowania kwenye majimbo ambayo hayako kwenye mikoa au wilaya walizokuwa wakizioongoza. Na wapo wale ambao wanagombea kwenye majimbo ambayo yapo kwenye mikoa na wilaya walizokuwa wakiongoza.

Nawazungumzia waliokuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kati ya wakuu wa mikoa na wilaya wa naowania Ubunge kwenye majimbo yaliyopo kwenye mikoa waliyokuwa wakiiongoza. Makonda anawania Kigamboni ya Dar es Salaam na Gambo anawania Arusha Mjini kule Arusha.

Kwa jinsi walivyokuwa wakijipambanua, kujitangaza na kuonekana kama wachapakazi na watatuzi wa changamoto za wananchi wao huku wakijisifu kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM, ni rahisi kuamini kuwa wana nguvu kubwa ya kuwaunga mkono ndani na nje ya chama chao cha Mapinduzi.

Leo, zoezi la kuchukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania Ubunge ndani ya CCM limekamilika. Sasa unasubiriwa mchakato wa ndani ya chama kuwapata wagombea wa Ubunge katika majimbo husika. Makonda, Gambo na wanaofanana nao kwa jinsi walivyojichora hawapaswi kushindwa.

Kushindwa kwenye majimbo yao, ndani ya chama au kwenye uchaguzi mkuu, itakuwa ni aibu na kituko cha karne. Itawezekanaje 'wachapakazi na watekeleza ilani' kama Makonda na Gambo kushindwa? Kama ni kweli walikuwa wakiwatumikia vyema wananchi, wanapaswa kutunzwa kichama na wananchi wao.

Karibu ukweli utajianika!
Nawashauri wasikubali kukatwa
Wakikosa hizo nafasi wahamie ACT au CHADEMA. Huko lazima wapewe nafasi za kugombea.
 
Bashite katumiwa na Magu kufanya matukio mazito sana ya kikatili.

Kinachoendelea, yeye kamtuma apate ubunge halafu afanywe spika ili awe na kinga post-2025 ( sheria washapitisha )

So Tusichoshane :)

Mtu muongo miaka 5 mfululizo, halafu aje aaminike kwa kikauli kimoja tu
Kuna watu wanakwambia Magu anapambana na rushwa, sijui rushwa ya wapi
 
Bashite katumiwa na Magu kufanya matukio mazito sana ya kikatili.

Kinachoendelea, yeye kamtuma apate ubunge halafu afanywe spika ili awe na kinga post-2025 ( sheria washapitisha )

So Tusichoshane :)

Mtu muongo miaka 5 mfululizo, halafu aje aaminike kwa kikauli kimoja tu

We mpumbavu sana. Magu amtume kwa vigezo gani. Nyie ndo mnaota ndoto then mnajuta asubuhi.
 
Kuna aina mbili za viongozi wa mikoa na wilaya wanaowania Ubunge. Wapo wale wanaowania kwenye majimbo ambayo hayako kwenye mikoa au wilaya walizokuwa wakizioongoza. Na wapo wale ambao wanagombea kwenye majimbo ambayo yapo kwenye mikoa na wilaya walizokuwa wakiongoza.

Nawazungumzia waliokuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kati ya wakuu wa mikoa na wilaya wa naowania Ubunge kwenye majimbo yaliyopo kwenye mikoa waliyokuwa wakiiongoza. Makonda anawania Kigamboni ya Dar es Salaam na Gambo anawania Arusha Mjini kule Arusha.

Kwa jinsi walivyokuwa wakijipambanua, kujitangaza na kuonekana kama wachapakazi na watatuzi wa changamoto za wananchi wao huku wakijisifu kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM, ni rahisi kuamini kuwa wana nguvu kubwa ya kuwaunga mkono ndani na nje ya chama chao cha Mapinduzi.

Leo, zoezi la kuchukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania Ubunge ndani ya CCM limekamilika. Sasa unasubiriwa mchakato wa ndani ya chama kuwapata wagombea wa Ubunge katika majimbo husika. Makonda, Gambo na wanaofanana nao kwa jinsi walivyojichora hawapaswi kushindwa.

Kushindwa kwenye majimbo yao, ndani ya chama au kwenye uchaguzi mkuu, itakuwa ni aibu na kituko cha karne. Itawezekanaje 'wachapakazi na watekeleza ilani' kama Makonda na Gambo kushindwa? Kama ni kweli walikuwa wakiwatumikia vyema wananchi, wanapaswa kutunzwa kichama na wananchi wao.

Karibu ukweli utajianika!
Kwa hakika wamemwangusha JPM na dhahiri wameonesha kutomwamini na huu ni utovu wa nidhamu
 
Wanasiasa mara nyingi hawaaminiki kwa kuwa hawana ujasili wa kuzungumza kwa kile wanachokimaanisha ili kukwepa kutokuungwa mkono na makada mbalimbali ndani ya chama. Kama binadamu awaye yeyote yule, nao pia huwa wana upendeleo kwa watu ambao wanategemea malengo yao ya kisiasa kuweza kufanikiwa.

Hawa wakina Makonda, ni watu "special" ktk awamu hii. Nguvu zao zimeweza kudhihirika na hata kuweza kutoa matamko mbalimbali ambayo si bunge wala viongozi wa juu wa serikali kuweza kuwaadabisha. Mtu ambaye hata USA yenyewe inatoa tamko la kumzuia kuingia ktk ardhi yake unafikiria atakuwa bwege wa kiwango cha lami hata kuweza kufanya uamuzi ambao utahatarisha kesho yake ya kisiasa.

Zipo wizara ambazo Mkulu amekuwa akifanya mabadiliko ya mara kwa mara na ipo hii ya sasa ya Ulinzi ambayo imepata pengo baada ya "mwana mpendwa" kupewa ridhaa ya kugombea uraisi wa Zanzibar. Hapo ndipo utapata picha ya hawa maRC wapendwa kuwa ni wanatia nia walioandaliwa kimkakati.
 
Kuna aina mbili za viongozi wa mikoa na wilaya wanaowania Ubunge. Wapo wale wanaowania kwenye majimbo ambayo hayako kwenye mikoa au wilaya walizokuwa wakizioongoza. Na wapo wale ambao wanagombea kwenye majimbo ambayo yapo kwenye mikoa na wilaya walizokuwa wakiongoza.

Nawazungumzia waliokuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kati ya wakuu wa mikoa na wilaya wa naowania Ubunge kwenye majimbo yaliyopo kwenye mikoa waliyokuwa wakiiongoza. Makonda anawania Kigamboni ya Dar es Salaam na Gambo anawania Arusha Mjini kule Arusha.

Kwa jinsi walivyokuwa wakijipambanua, kujitangaza na kuonekana kama wachapakazi na watatuzi wa changamoto za wananchi wao huku wakijisifu kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM, ni rahisi kuamini kuwa wana nguvu kubwa ya kuwaunga mkono ndani na nje ya chama chao cha Mapinduzi.

Leo, zoezi la kuchukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania Ubunge ndani ya CCM limekamilika. Sasa unasubiriwa mchakato wa ndani ya chama kuwapata wagombea wa Ubunge katika majimbo husika. Makonda, Gambo na wanaofanana nao kwa jinsi walivyojichora hawapaswi kushindwa.

Kushindwa kwenye majimbo yao, ndani ya chama au kwenye uchaguzi mkuu, itakuwa ni aibu na kituko cha karne. Itawezekanaje 'wachapakazi na watekeleza ilani' kama Makonda na Gambo kushindwa? Kama ni kweli walikuwa wakiwatumikia vyema wananchi, wanapaswa kutunzwa kichama na wananchi wao.

Karibu ukweli utajianika!
Yaani Gambo tayari chali.. Kwa maneno ya mwenyekiti wakati akimwapisha Rc mpya Gambo hana lake tena. Hawa wengineb50/50
 
Umekuja kufanya nini hapa Duniani kama unaona kushindwa kwa mtu aliyejaribu ni aibu? Isitoshe aibu ni kwa yule aliyejaribu na kushindwa au wewe ambaye hakuna kitu umefanya maisha yako yote hapa Duniani zaidi ya kukaa kusubiri Binadamu xyz anayejaribu akishindwa umcheke? Wakishindwa maisha yataendelea ndiyo Uanaume huo, lkn angalau watakuwa wamejua limitations zao, kurekebisha kama wakiweza na kusonga mbele na maisha, kuna mengi zaidi ya kufanya, ...
Aaah ndio keshapigwa chini huyo mwingine October.Vumilia tu ndo demokrasia ilivo unavuna ulichopanda.
 
Kuna aina mbili za viongozi wa mikoa na wilaya wanaowania Ubunge. Wapo wale wanaowania kwenye majimbo ambayo hayako kwenye mikoa au wilaya walizokuwa wakizioongoza. Na wapo wale ambao wanagombea kwenye majimbo ambayo yapo kwenye mikoa na wilaya walizokuwa wakiongoza.

Nawazungumzia waliokuwa wakuu wa mikoa na wilaya. Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kati ya wakuu wa mikoa na wilaya wa naowania Ubunge kwenye majimbo yaliyopo kwenye mikoa waliyokuwa wakiiongoza. Makonda anawania Kigamboni ya Dar es Salaam na Gambo anawania Arusha Mjini kule Arusha.

Kwa jinsi walivyokuwa wakijipambanua, kujitangaza na kuonekana kama wachapakazi na watatuzi wa changamoto za wananchi wao huku wakijisifu kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM, ni rahisi kuamini kuwa wana nguvu kubwa ya kuwaunga mkono ndani na nje ya chama chao cha Mapinduzi.

Leo, zoezi la kuchukua, kujaza na kurejesha fomu za kuwania Ubunge ndani ya CCM limekamilika. Sasa unasubiriwa mchakato wa ndani ya chama kuwapata wagombea wa Ubunge katika majimbo husika. Makonda, Gambo na wanaofanana nao kwa jinsi walivyojichora hawapaswi kushindwa.

Kushindwa kwenye majimbo yao, ndani ya chama au kwenye uchaguzi mkuu, itakuwa ni aibu na kituko cha karne. Itawezekanaje 'wachapakazi na watekeleza ilani' kama Makonda na Gambo kushindwa? Kama ni kweli walikuwa wakiwatumikia vyema wananchi, wanapaswa kutunzwa kichama na wananchi wao.

Karibu ukweli utajianika!
😷🚶‍♀️
 
Back
Top Bottom