Professor Adolf Mkenda ni GURU LA UCHUMI.
Huyu ni Mwanafunzi wa Prof Ibrahim Lipumba ambaye ni Maktaba ya UCHUMI.
Tanzania hajawahi kuishi kwenye falsafa za kikabila na hata kama imewahi kuwepo dhana ya namna hiyo ukweli ni kwamba siyo mpango au tuseme siyo sifa ya Nchi yetu.
Kazi na iende...
Kwa vyovyote Mapato yataongezeka sanaaa!
Toa nafasi!
Robo ya kwanza mpk ya tatu ya Mwaka huu wa pesa utaanza kujua maana ya DP World!
Hilo liko wazi na tutaona!
Hivi Mfanyabiashara akikopa pesa akanunua Train kisha akalipia Kodi kwenye SGR maana yake ni kwamba Serikali ndo imemkopea Pesa ya kununua Train?
Je?
Mfanyabiashara huyo akilipa iyo pesa kwa Bank ni Serikali itakuwa Imemlipia?
Commercial Bank hazifanyi SIASA kwenye Biashara!
Ni Lazima huyo...
Heriel Mtibel ameandika Mada Chokonozi...!Anastahili Pongezi!
Lakini kuna kitu kimoja watu tunasahau...tunadhani Brain(UBONGO)unatusaidia kuliko Spiritual Mysteries!
Kina mambo ambayo ukibahatika kuyaona au kuya-Experince hautaweza kabisa kuyaezea kwa lugha yoyote!
Au unaweza kulia au...
Yawezekana huu ni Uzi unaohitaji Majibu yenye uzito zaidi kuliko Mzaha!
-Jambo la Muhimu zaidi katika kuzalisha Walipakodi wengi ni kuamua kufanya Financial Structuring.
-Financial Institutions Nyingi ni Commercial ambazo policy zake hazisaidii Investments.
×Hizi zinanyonya pesa kwenye Mzunguko...
Soma vizuri concept ya VAT!
Value Added Tax!
Kuna productz zinaenda hadi mizunguko kumi ndo unaingia kuliwa.. ..hiyo mizunguko inatoa nafasi ya ongezeko la thamani...na mikunjo ya kodi ya Ongezeko la Thamani bado inaandamana na huo mzunguko.....au mkunjo...!
VAT haifi...inaendelea kuongezeka...
Sasa Ulipelekwa Shule kwa Kodi Zetu halafu hukuelimika kweli?
VAT inatakiwa iwe na Baseline!
Malalamiko ya Wafanyabiashara wa Kariakoo ni kwamba sehemu ya Importation ya Bidhaa haitozwi kodi ipasavyo kule Bandarini..
Unaingiza mzigo Mkubwa lakini unalipia VAT kidogo!
Kuna gap...
Na dhamira...
Nadhani kuna kitu WF hajakitizama vizuri!
Tatizo kubwa kwa Biashara Nyingi ni pale Umeme ulipokuwa unakatika sanaaa!
Viwanda viliparalyse!
Lazima effect zake zianze kuonekana sasa!
Nguvu kubwa iende kwenye kuimarisha upatikanaji wa hii nishati then Hazina itajaa pesa tu!
Wafanyabiashara...
Mhhhh!
Train!
Fishing Boats
College of Fisheries
Ndege
Makatapilla
Bado intergrity iko tu!
Halafu huwezi kupinga chanjo au dawa kwa hisia!
Research ndiyo iimarishwe!
Ule ushauri ulikuwa hauna mashiko...kwa Sababu haukuwa na Science ndani yake!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Tundu Aeleze Jamii Sera za Chama Chake!
Yaani upinzani ni kuripoti vitu pety pety kama hivi?
Ongea Sera za Chama Chako kuhusu Bandari na Mambo mengine yanayohusu Uchumi na jinsi utakavyojitofautisha na Sera za CCM!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
FINANCIAL INSTITUTIONS ziko too commercial.
Banks za Taifa zinapaswa kuwa na Strategic Lending lakini HAZINA MITAJI.
Kwa hivo ni vigumu kujenga Strong Economy wakati wananchi wako huwezi kujua ni wangapi wanashiriki Kwenye ukuaji wa Uchumi na kwa Kiasi gani!
Bank za Serikali zingetafutiwa...
Gardening!
Recreation!
Palm Trees na Nyinginezo!
Avenue Road kutoka Airport mpk Arusha Road!
Yaani ule uwanja ungekuwa Garden kama zile za Mount Meru Hotels ule uwanja ungetulia sanaaaa
Lsnd Scape inahusu na ikiwezekana wakabidhi watu binafsi!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.