Nina umri wa miaka 26 naishi kinondoni daresalaam.nina uzoefu na kazi hii.muda wa kazi ni kwa siku kwa maana kwenda na kurudi na mshahara ni maelewano. Ahsante.
Nipo kwenye mahusiano ambayo simpendi mtu niliyekuwa naye kwa matakwa yangu binafsi na wasiwasi kumuacha huenda nikakosa mwanaume wakunioa uko mbeleni.
Kiukweli kila akinitamkia kunioa sijisikii kabisa na wanaume naowapenda hawanitongozi na umri unaenda yaani sijui nifanyeje mwenzenu.
Habari wapendwa,
Natafuta watu wanaojihusisha na masuala ya maendeleo ya jamii ili tuweze kupeana connection za kazi. Hata kwa wale waliosoma vyuo vya serikali za mitaa Kama Hombolo, tupeane link za group Kama Kuna magroup yapo WhatsApp.
Asanteni
Huwaga natafuta sanA kazi Kama izi ndo taaluma nilosema tunaweza tukajuanA huwa tunajaribu sehem nyingi endapo Kama utakuwa unapata matangazo Kama Aya.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.