Recent content by smart mind69

  1. smart mind69

    Ina maana JWTZ wamenywea kabisa?🤣

    Hivi Yule mwanajeshi wa marekani walie mkamata waliishia wapi??
  2. smart mind69

    Donald Trump, Samia Suluhu alikuita "WHO ARE YOU?"

    Bora achukue izo rasilimali tuishi kwa Uhuru bila kutekwa rasilimali zenyewe wananufaika watu wachache #freenicodem
  3. smart mind69

    Yawahusu wapangaji

    Mimi sioni shida hapo kikubwa marehemu kazikwa
  4. smart mind69

    Gen z sahauni kiongozi kuachia madaraka kwa maandamano yenu ya kubeba mabango ya mabox mlochora na makapen

    Naunga mkono hoja maandamano ya aman hayatabadirisha chochote
  5. smart mind69

    Habili ni nani? Je, anaishi Kawe kweli? Kuingilia mifumo ya ulinzi ya nchi mbona ni hatari kwa Taifa

    Amesema mshauri binafsi wa raisi alitumia machine gun kuwalenga vichwa watanganyika 275 video kasema kaipeleka ICC pia uyo mshauri wa raisi ni injinia wa kikosi cha zombie zanzibar, pia alitaka kumuuwa yule alietoka BBC
  6. smart mind69

    Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

    Hasa boda watanzania wengi wamekimbilia malawi hasa wa kiume nasikia maiti zingine walikuwa wanatupa mto kiwira
Back
Top Bottom