Niliiwahi game, nikawa naangalia huku najiuliza, kwa huu uchezaji tuliwezaje kumkanda mtani goli nne na Bayern? Nafasi zinatengenezwa kama mia, ila hakuna anaetaka kufunga.
Huu msimu Atletico akiwa na consistency, anaweza chukua ndoo.
Xavi, Messi na Iniesta ilikua rare scenario. Kwanza Stats za Messi zilikua kali, wala hazikuhitaji PR kama kesi ya Vini. Pia, hata hao wenzie walitaka Messi ashinde.
Kwa kesi ya Vini, sidhani kama Mbappe kampigia kura kama captain wa Ufaransa.
Narudia tena Carvajal ndie mtu aliekua na...
Acha uongo. Unataka tukukumbushe stats za Messi wakati Modric anapewa Balon d'Or?
Vini was average robo tatu ya msimu. Vini alikuja kua mkali kwenye nock out stage ya UCL, wakati kuna wenzie walikua na consistent performance.
Hata kwenye huu uzi, kabla ya nusu fainali ya UEFA, alikua anaimbwa...
Euros iliyopita nilitabiri anashinda Italy, ikawa kweli. World cup nikasimama na Argentina, ikawa kweli. This time nasimama na waholanzi. Huyo ndie bingwa mwaka huu!
Usichukulie serious sana brother, ni story tu. Kwa ujanja aliovalishwa huyu main character wetu, lazima atakua anajua suala la kupata ticket feki ni suala dogo sana. Simu mbili tu, unapewa ticket inayoonyesha ulienda sayari ya pluto, hadi hoteli uliyofikia huko kwenye mabarafu!
Pale kariakoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.