Hata mimi nawaza kwanini amuue kama hamfahamu?Inawezekana walikuwa wanafahamiana na ndio aliyetoa habari za kuwapo pesa chumbani. Nawaza tuu! Anyway apumzike kwa amani dada.
Duhh..me ni mteja mzuri wa hayo ma bus ila kwa hapo kwenye vyoo kwakweli wamefeli sana.Pale Arusha hakuna kabisa choo wanasema kimejaa mara sijui kinajengwa.Kwahiyo inabidi ukajisaidie baa za pembeni na hapo.Inaboa sana sisi ni binadamu huduma kama hizo ni muhimu kwa wateja.Walifanyie kazi pls!
Kabisa...mwanaume inawezaje kumuacha mwenzio kwenye mazingira kama hayo bila msaada? Duhh nimeshangaa sana aina ya roho ya jamaa kama story yenyewe ni ya kweli
Pole sana ndugu, maisha ya ndoa yana changamoto sana.Jiatahidi kutuliza akili na kuomba Mungu akupe utulivu kwanza umzae huyo mtoto.Baada ya hapo utapima upepo..kama hauelewki ondoka mapema..na kuanzia sasa acha kabisa kushughulika na simu yake.Acha Bora usijue kuliko kuumia kila wakati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.