Ufahamu la lugha uko kwenye viwango mbali mbali.Hii hutegemea athari za kimazingira.kuna wengi wameathirika na lugha mama,wengine na matamshi ya walimu waliowafundisha na wengine kukosa kujiamini hasa ktk kuongea,wengine hupata athari za ulemavu wa mifumo ya sauti.Hivyo kuongea kingereza fasaha...
Mbinu ya kuvutia watu wengi waudhurie ibaada ili sadaka iongezeke.Viongozi wetu wa kiroho wajitakase kwanza kabla ya kunyoshea wengine vidole.Madhehebu yamejaa uozo wa kila aina ndio maana tunaomba rehema na kwa neema za Mungu tutapona
Kwa nini nguvu ya wananchi huitajika kwenye ualifu wa kisiasa?Ni kwa nn wanasiasa hawakubali maneno yao wanaposhitakiwa?Kama ni haki kutumia lugha ya fedhea si ukubali tu maneno yako mahakamani kuliko kupiga chenga.
Lema amechanganyikiwa.Hajui afanye nini ili ufalme wake uendelee kutukuzwa.Kinywa chake hunena maovu na machukizo akikutumia misahafu na fasihi kudhulumu maisha ya watu.LEMA mungu anakupa pigo takatifu na huna pa kutokea.Viongozi wanakuhama mchana kweupe kama ulivyoihama TLP.kwako hukuiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.