Ni kweli sheria ya SSRA hairuhusu mtu kuhama kutoka mfuko mmoja kwenda mwingine. Unapaswa kuwa makini unapochagua mfuko mwanzoni kwani una huari kuchagua mfuko unaopenda. Ukikosea mwanzoni, Fainali Uzeeni. PPF na NSSF wana mafao kandamizi ya uzeeni wakati LAPF na PSPF wana mafao bora ya uzeeni...
Mtoto akililia wembe Mpe! Kelele zao ndio zinatufikisha hapa. Najua watatamani serikali mbili ziendelee ili waendeleze ukupe wao but watakuja kushtuka wakati wameshachelewa. Bora kila mtu awe na kwao na rasilimali zake. Haiwezekani Changu ni Chetu wakati Chako ni Chako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.