Recent content by slufay

  1. S

    Kumekucha: Mizigo yote ya DRC kupitia Mombasa Kenya, Tanzania yaendelea kusomeshwa namba

    We huelewi njia singida babati arusha had I taveta ni fursa kwa Kenya Rwanda na Burundi maana ni fupi kuliko dar port
  2. S

    Mashirika Manne ya ndege kuungana, Kenya, Rwanda, Mauritius na Afrika Kusini.

    South Africa ilikuungana na ATCL ikafyekelewa mbali huo muungano utaua wengine mbona Ethiopia airlines hawajajiunga
  3. S

    Kwanini Watumishi wa Umma walikata tiketi za ATCL na hawakusafiri?

    Itakuwa complimentary badaye inakuwa deni ndiyo inayoua atcl kabla na baada siasa hiim
  4. S

    Kwanini Watumishi wa Umma walikata tiketi za ATCL na hawakusafiri?

    Itakuwa complimentary badaye inakuwa deni ndiyo inayoua atcl kabla na baada siasa hiim
  5. S

    Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

    Zimbabwe is coming to TZ
  6. S

    Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

    Kenya inatuburuza hiii Hongera sana Kenya na ahsante maana sasa hivi tz tulindwa na kampuni ulinzi toka Kenya sabuni Kenya kiwi kenya Zamani benki posta enzi zangu nilitoa pesa ikaibiwa ikabidi niende kumwona meneja! Benki ndiyo enjini ya uchumi plz waache urasimu
  7. S

    Wafanyakazi wa Tanzania wameishiwa subira

    Sawa tu pesa kazi yake ni matumizi wacha serikali itumie
  8. S

    Suala la Managing Director wa Vodacom linafichwa ukweli wake

    Wakenya hawataki chochote ki survive kwa jirani
  9. S

    Suala la Managing Director wa Vodacom linafichwa ukweli wake

    Hii kweli kabisa, tatizo wawekezaji walioko kenya sijui ni ndugu mmoja maana kila kitu tunatoa kenya hii ni hatari kwa taifa!!! Hiyo ni kweli kabisa
  10. S

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Mungu niepushe na siasa 0
Back
Top Bottom