Recent content by slow_learner

  1. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

    Si ndo nilitaka kushangaa mbona JF haifunguki bali inaload tu? mpaka nilipoamua kutumia njia mbadala. Aisee walaaniwe hawa chotara wa kusini
  2. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia anaamini kuwa dini zinaweza kuwa suluhisho la migogoro. Tuunge mkono juhudi zake

    Bora hata umejaribu kumwelewesha japo kwa ufupi. Kite do cha kufikia kuitea daktari siyo lelemama. Ila sasa siku hizi naona tu wanasiasa wakishakuwa na umaarufu fulani mara baada ya kukasimishwa madaraka ama vyeo basi huonelea wanazo sifa za kutunukiwa udaktariwa mchongo. 🙉🙉🙉🙉🙉
  3. slow_learner

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Mnyeti hata asingejisumbua kuutaka tena ubunge. Mambo yalishaharibika kitambo sana. https://www.jamiiforums.com/threads/alexander-mnyeti-maji-ya-shingo-miradi-yake-yaanza-kufa-mmoja-baada-ya-mwingine.2050773/post-44728749
  4. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Makundi yanayoongoza kwa ubaguzi na chuki dhidi ya watu weusi

    Yaani katika hili ndo kila kitu. Mengine ni mengineyo 🙏🙏🙏🙏
  5. slow_learner

    JamiiForums Tanzania HR na Maboss punguzeni ukabila wakati wa usaili

    Pole mwaya
  6. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Rais ni taasisi, tuheshimu ofisi ya urais

    Nashikilia hapa hapa
  7. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Tafadhali sana, kama hujui maana ya siasa usiandike mada za kisiasa!

    Hebu ngoja nicomment ili nisipitwe na taarifa za uzi huu. Maana mwandishi inaonekana kabisa ana msongo wa mawazo.
  8. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

    Mnh!
  9. slow_learner

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ili uweze ku maintain circle ya marafiki zako, lazima uwe na mnafiki

    Umegusa mulemule
  10. slow_learner

    JamiiForums Tanzania GE2025 Balozi Polepole: Rais Samia anahujumiwa, kazungukwa na Wana Mtandao (Kikwete na Rostam)

    Acha iendelee kunyesha tuone panapovuja
  11. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Dude limekaa vibaya sana hakuna wa kulitatua ndani kwa ndani

    Hakika kwa code hii sijaambulia kitu
  12. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Mawazo na ushauri wako vitanisaidia.

    Maswali huwa ni mengi sana hasa linapokuwa halijakufika lolote lile. Kwa hivyo basi hata hapa majibu yake sina kwa maana hata nikijitahidi kukuelezea haitasaidia kitu kwa kuwa ushaweka DOUBT katika maelezo yangu.
  13. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Mawazo na ushauri wako vitanisaidia.

    Asante sana kwa faraja
  14. slow_learner

    JamiiForums Tanzania Mawazo na ushauri wako vitanisaidia.

    Ni mtazamo wako
Back
Top Bottom