Recent content by slow_learner

  1. slow_learner

    Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

    Si ndo nilitaka kushangaa mbona JF haifunguki bali inaload tu? mpaka nilipoamua kutumia njia mbadala. Aisee walaaniwe hawa chotara wa kusini
  2. slow_learner

    Rais Dkt. Samia anaamini kuwa dini zinaweza kuwa suluhisho la migogoro. Tuunge mkono juhudi zake

    Bora hata umejaribu kumwelewesha japo kwa ufupi. Kite do cha kufikia kuitea daktari siyo lelemama. Ila sasa siku hizi naona tu wanasiasa wakishakuwa na umaarufu fulani mara baada ya kukasimishwa madaraka ama vyeo basi huonelea wanazo sifa za kutunukiwa udaktariwa mchongo. 🙉🙉🙉🙉🙉
  3. slow_learner

    GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Mnyeti hata asingejisumbua kuutaka tena ubunge. Mambo yalishaharibika kitambo sana. https://www.jamiiforums.com/threads/alexander-mnyeti-maji-ya-shingo-miradi-yake-yaanza-kufa-mmoja-baada-ya-mwingine.2050773/post-44728749
  4. slow_learner

    Makundi yanayoongoza kwa ubaguzi na chuki dhidi ya watu weusi

    Yaani katika hili ndo kila kitu. Mengine ni mengineyo 🙏🙏🙏🙏
  5. slow_learner

    Tafadhali sana, kama hujui maana ya siasa usiandike mada za kisiasa!

    Hebu ngoja nicomment ili nisipitwe na taarifa za uzi huu. Maana mwandishi inaonekana kabisa ana msongo wa mawazo.
  6. slow_learner

    Dude limekaa vibaya sana hakuna wa kulitatua ndani kwa ndani

    Hakika kwa code hii sijaambulia kitu
  7. slow_learner

    Mawazo na ushauri wako vitanisaidia.

    Maswali huwa ni mengi sana hasa linapokuwa halijakufika lolote lile. Kwa hivyo basi hata hapa majibu yake sina kwa maana hata nikijitahidi kukuelezea haitasaidia kitu kwa kuwa ushaweka DOUBT katika maelezo yangu.
  8. slow_learner

    Mawazo na ushauri wako vitanisaidia.

    Asante sana kwa faraja
Back
Top Bottom