Bora hata umejaribu kumwelewesha japo kwa ufupi. Kite do cha kufikia kuitea daktari siyo lelemama. Ila sasa siku hizi naona tu wanasiasa wakishakuwa na umaarufu fulani mara baada ya kukasimishwa madaraka ama vyeo basi huonelea wanazo sifa za kutunukiwa udaktariwa mchongo. 🙉🙉🙉🙉🙉
Mnyeti hata asingejisumbua kuutaka tena ubunge. Mambo yalishaharibika kitambo sana.
https://www.jamiiforums.com/threads/alexander-mnyeti-maji-ya-shingo-miradi-yake-yaanza-kufa-mmoja-baada-ya-mwingine.2050773/post-44728749
Maswali huwa ni mengi sana hasa linapokuwa halijakufika lolote lile. Kwa hivyo basi hata hapa majibu yake sina kwa maana hata nikijitahidi kukuelezea haitasaidia kitu kwa kuwa ushaweka DOUBT katika maelezo yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.