Recent content by Slobodan Mirosovich

  1. Slobodan Mirosovich

    Kutoka kwenye Raha, Utukufu, kuogopwa na kunyenyekewa hadi Mbuzi wa Kafara

    Ndugu zangu kamwene, Katika ulimwengu wa madaraka, kuna wakati taasisi inabidi ijioshe ili ipate hewa ya kupumua. Nchi inapokwama kiuchumi kwa sababu ya doa la damu mfumo haulazimishi kila mtu kuwajibika maana kuna uwajibikaji hauna impact hivyo anatafutwa mtu mmoja mwenye uzito wa kubeba...
  2. Slobodan Mirosovich

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    asipoelewa na lugha nyepesi namna hii hawezi kuelewa milele.
  3. Slobodan Mirosovich

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Ninyi ni moja ya watu mnaohusika kumpoteza mh, ni dhahiri hujui tofauti ya hazina ya taifa na pochi au account binafsi ya Samia , Rais hajatoa hela mfukoni kwake kununua hizo tani 15 ametoa kodi zetu na rasilimali zetu kupitia BoT. Hivyo, hiyo dhahabu ni dhamana ya Taifa (National Sovereign...
  4. Slobodan Mirosovich

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Badiliko la gafla la mzoefu na mtaalamu naibu gavana anayehusika na udhibiti ndugu Julian Banzi Raphael na kumweka mtu wa haiba moja kuanzia lahaja hadi ufikili wakati mali ya nchi (dhahabu) inapoanza kuuzwa kiholela, ujue tu kuna mtu amekataa kuweka saini kwenye madili yasiyo na tija kwa Taifa...
  5. Slobodan Mirosovich

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Mkuu, mbona kama unataka kutuaminisha kuwa zile tuzo tatu za kimataifa alizopokea Rais ni feki'? Kama Tanzania ni kitovu cha utalii na Royal Tour ilifungua milango ya watalii rundo hizo dola zimeenda mfukoni mwa nani mpaka tukauze dhahabu yetu?
  6. Slobodan Mirosovich

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Katika uchumi wa dunia akiba ya dhahabu ya nchi (National Gold Reserves) inatazamwa kama ngao ya mwisho ya uhuru wa kiuchumi. Taarifa kuwa nchi yangu Tanzania inapanga kuuza sehemu ya hazina yake ya dhahabu ili kufadhili miradi ya miundombinu imenistua sana. Ni jambo linalopaswa kutafakariwa...
  7. Slobodan Mirosovich

    Wapiganaji 5 wa ISIS raia wa Tanzania wakamatwa kwenye operesheni ya ugaidi Puntland, Somalia

    Kama wameanza kuvuka boda na kwenda kujinoa huko nje kimedani na kimashambulizi. kuna Blowback Risk ya hatari ya wapiganaji wenye uzoefu wa kivita kurejea nyumbani au kutumia mitandao yao ya ndani kuhamasisha itikadi kali hawa sasa kikiumana ndo mtawakubali
  8. Slobodan Mirosovich

    Jinsi matapeli mamboleo hutumia mitandao na saikolojia kuliza watu

    Matapeli wa kisasa ni wahandisi wa akili (psychological engineers) au manipulators . Hawaji kuiba pesa zako mara moja; badala yake, wanajenga mazingira ambayo wewe mwenyewe utawapa pesa kwa hiari yako. Hivi ndivyo wanavyotumia saikolojia kumnasa mtu: 1. Kukuvutia na Maisha ya Ndoto zako (The...
  9. Slobodan Mirosovich

    The ICC issued summons calls the President of United Republic of Tanzania to appear before the court

    Hakuna kumbukumbu rasmi kwenye tovuti ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) au vyanzo vya habari vya kimataifa vinavyoonesha kuwepo kwa wito rasmi au kuanza kwa uchunguzi dhidi ya Samia. Ingawa kuna ripoti za baadhi ya wanaharakati au vyama vya upinzani kuwasilisha maombi (petitions) ICC...
  10. Slobodan Mirosovich

    Kutoka Makamu Mpaka Mateka: Je, Huu ni Uongozi wa Katiba au ni Deni la Fadhila kwa Mzee wa Remote

    Mkuu waambie Ahsante kwa kunifuatilia. Naomba msisahau kunitumia na allowance ya bando basi, maana kazi ya kunichunguza inachosha na bando linakata
  11. Slobodan Mirosovich

    Kutoka Makamu Mpaka Mateka: Je, Huu ni Uongozi wa Katiba au ni Deni la Fadhila kwa Mzee wa Remote

    Kiranga Mshana Jr yoga Missile of the Nation britanicca nguvu ya buku Robert Heriel Mtibeli Ninja wakuu nimewaita mara 3 hapa kijiwe nongwa
Back
Top Bottom