Katika ulimwengu wa ukaguzi wa hesabu forensic auditing na intelijensia ya jinai (criminal intelligence) miradi mikubwa inayohusisha wageni mashuhuri kama Wasanii na wanamichezo, matukio ya kimataifa au kampeni kubwa za kuitangaza nchi inaweza kutumika kama kichaka au mbinu ya kutakatisha fedha...
Ndugu zangu kamwene,
Katika ulimwengu wa madaraka, kuna wakati taasisi inabidi ijioshe ili ipate hewa ya kupumua. Nchi inapokwama kiuchumi kwa sababu ya doa la damu mfumo haulazimishi kila mtu kuwajibika maana kuna uwajibikaji hauna impact hivyo anatafutwa mtu mmoja mwenye uzito wa kubeba...
Ninyi ni moja ya watu mnaohusika kumpoteza mh, ni dhahiri hujui tofauti ya hazina ya taifa na pochi au account binafsi ya Samia , Rais hajatoa hela mfukoni kwake kununua hizo tani 15 ametoa kodi zetu na rasilimali zetu kupitia BoT. Hivyo, hiyo dhahabu ni dhamana ya Taifa (National Sovereign...
Badiliko la gafla la mzoefu na mtaalamu naibu gavana anayehusika na udhibiti ndugu Julian Banzi Raphael na kumweka mtu wa haiba moja kuanzia lahaja hadi ufikili wakati mali ya nchi (dhahabu) inapoanza kuuzwa kiholela, ujue tu kuna mtu amekataa kuweka saini kwenye madili yasiyo na tija kwa Taifa...
Mkuu, mbona kama unataka kutuaminisha kuwa zile tuzo tatu za kimataifa alizopokea Rais ni feki'? Kama Tanzania ni kitovu cha utalii na Royal Tour ilifungua milango ya watalii rundo hizo dola zimeenda mfukoni mwa nani mpaka tukauze dhahabu yetu?
Katika uchumi wa dunia akiba ya dhahabu ya nchi (National Gold Reserves) inatazamwa kama ngao ya mwisho ya uhuru wa kiuchumi. Taarifa kuwa nchi yangu Tanzania inapanga kuuza sehemu ya hazina yake ya dhahabu ili kufadhili miradi ya miundombinu imenistua sana.
Ni jambo linalopaswa kutafakariwa...
Kama wameanza kuvuka boda na kwenda kujinoa huko nje kimedani na kimashambulizi. kuna Blowback Risk ya hatari ya wapiganaji wenye uzoefu wa kivita kurejea nyumbani au kutumia mitandao yao ya ndani kuhamasisha itikadi kali hawa sasa kikiumana ndo mtawakubali
Matapeli wa kisasa ni wahandisi wa akili (psychological engineers) au manipulators . Hawaji kuiba pesa zako mara moja; badala yake, wanajenga mazingira ambayo wewe mwenyewe utawapa pesa kwa hiari yako.
Hivi ndivyo wanavyotumia saikolojia kumnasa mtu:
1. Kukuvutia na Maisha ya Ndoto zako (The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.