Hakika na ndio sisi tunaposhindwa kujaji sera za wanasiasa ila kwa upeo wangu mdogo nahisi tunadharauliwa sana kwa kuahidiwa pipi wakati kuna vitu vya msingi vingi sana sio boda boda kuingia mjini
Lowasa Sidhani alikuwa na mashiko juu ya hilo
.kumtoa Seya kisheria sio haki kwani ulawiti halipo kwenye orodha ya msamaha wa raisi, na hana mamlaka kui lazimisha mahakama
.boda boda kuwa mjini ni ukosefu wa uwezo wa kufikiri hadhi ya mjini
Juilize impact za boda boda kuwa mjini kama sio wa...
Sasa isiwe bora kuondoka ccm tushaichoka na ni dhahili tutaikabidhi kwenye mikono ovyo tutakuwa hatuna akili ya kutaka mabadiliko, ukawa walionyesha nia toka mwanzo kuleta mabadiliko ila kwa kununuliwa na wana ccm sio kweli kbsa ni maigizo ya wazi wazi
Demu akukatae kwa nyodo na kwenda kwa mume...
Ahsante sana Mimi nilikuwa hata nakosa nianzie wapi kuwaelewesha , naongezea kwa kusema tujaribu kujitambua wakati tunashabikia mtu, wampenda Diamond mwanamziki au Diamond mwana siasa, majibu unayo usiyejitambua
Kazi ni kazi don't be too personal , take the deal earn money hiyo ndio sera ya hustler
Mimi nimeamua chukua point za msingi, ni lazima tujue misingi ya chadema na sio ya Lowasa ccm ilitakiwa ng'oka bila EL kumuingiza EL ni udhaifu mkubwa sana ulionyeshwa na ukawa tena kwa only ten B bora ingekuwa bure kuliko kununuliwa
Lowasa ni ccm damuni, ukawa tumepoteza uhalisia wetu baada ya kuanza wapa nguvu watu waliotoka ccm hii inamaanisha ukawa hawakuwa bora, wale wakongwe wa ukawa wapo bench wana shine ccm-ukawa huu si wenda wazimu ulio wazi kbsa, kama EL alikuwa sawa akiwa ccm kabla ya kukatwa angekuwa na sera...
Kuwa muoga sio Lazima Hover alipiga debe kwa Obama ila mziki wake uko pale pale, utakuwa hujui nini wakishabikia kwa Diamond kama utaacha kwenda kwa show zake kisa anapenda siasa, Diamond ashabikiwe kama mwana mziki sio mwana siasa , Tatizo letu wabongo walio wengi huwa hatuelewi y tunashabikia...
Kwanza nashukuru sana being kwa hili jamvi
Mm nimemaliza diploma ya procurement and logistics mgt TIA ila mpk leo hii sijaweza na kuendelea kusoma kwa tatizo la ada yeyote mwenye idea amvapo naweza pata ufadhili wa kusoma degree ntafyrahi sana huwa nashindwa hata kuomba chuo kwa kuwa sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.