Habari za mda wanajamii forums
Serikali yetu tukufu ikiamua kuwa bima bure inawezekana, hoja yangu itajikita kwenye namna kuu mbili ya kulifanikisha hili serikali inakusanya kodi ya ongezeko la thamani yaani (VAT) katika kiwango cha asilimia kumi na nane (18%) ambapo hapo inaweza ikawa asilimia...
Wakuu Habari.
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, bajeti yangu ni milion 22
Na naitaji Gari aina ya Fuso
Kwa yeyote anaeuza basi anidm tufanye biashara
NB: Itapendeza kama biashara itatoka kwa mwenye mali husika.
Niko Dar es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.