Amani bila haki haiwezekani!Hivi vitu vinaenda sambamba kama utatu mtakatifu.Baba,Mwana na Roho mtakatifu.!"Haki,Amani na Furaha!Huwezi kuomba amani kama haki hakuna,na huwezi kupata furaha kama huna amani!Walipaswa kuhubiri haki kwanza na hayo mengine yangefuata tuu.
Hebu nikumbusheni kidogo!Labda nilikuwa bado mdogo.Hivi serikali iliyokuwa madarakani kipindi hicho huduma za treni zinasitishwa kwa miaka 30 ilikuwa chini ya chama gani!Kama ilikuwa chini ya chama pinzani kwa kweli ccm wanastahili pongezi kurejesha tena huduma hizo.
Hivi Serikali iliyositisha huduma za gari moshi njia ya Tanga_Moshi_Arusha ilikuwa chini ya chama gani hiyo miaka 30? Nahisi bado nilikuwa mdogo.
Kama ilikuwa chini ya chama kingine cha siasa kwa kweli Serikali iliyopo chini ya chama chetu cha mapinduzi inastahili pongezi!
Umegundua mkeo anachepuka ukaamua kumpa talaka,shekhe aliyekufungisha ndoa anasema hiyo talaka ni batili na mkeo ataendelea kutambulika yuko kwenye ndoa!Moja kwa moja lazima ujue ni nani anachepuka naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri huu ndio wakati sasa wa kuomba miujiza ishuke tuondokane na hili balaa la hili gonjwa baya linalotisha dunia!Hatusikii tena zile keki za upako wala mafuta!Au hizo keki mmeamua kula wenyewe na mafuta kukanyaga wenyewe??
Nafikiri kama hizo keki zina upako kweli huu ndio muda tunazihitaji...
Ni kijana mwenzie haina shida.Sasa kama nyie mnaogopa kumtongoza ni nyie.Mkuu keshachukua namba za simu shauri yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.