Jamani tusisahau na upeo wa family..hawa watoto hawana walichokiona wala walichojifunza zaidi ya kung'ang'ania na kujionyesha kuwa wao ni watoto wa muheshimiwa na hata kama wanatambulika...sisi wakwere ndivyo tulivyo..sidhani kama Rais mwenye elimu yake na alietembea kuona jinsi gani watoto wa...
Kwa upande wangu nafikiri ni mkoa wa Pwani..kwani si umasikini wa chakula tu bali hata huduma za kia
afya na elimu..kama sisi pwani ya mwambao tunaishi kwa kutegemea bahari..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.