Mimi nimekulia familia ya kimaskini, no exposure ya biashara wala ya shambani nikazoea maisha ya kuunga unga. Nakumbk nimeajiriwa miaka 5 iliyopita tukadanganyana na wife nikope bank, awamu ya kwanza nikakopa mil 7, nikafungulia biashara mil 3. 5, 3.5 nyingne matumizi mengine, baada ya miezi 6...
Nakumbuka 2013 nilichaguliwa chuo ngazi ya diploma, sikuwa na kitu, mimi ni Rc na baba angu ni mwenyekiti wa jumuiya tangu 1990 mpk leo nilimfuata ba paroko anipe msaada niliambulia laki moja tu kati ya gharama mil 1.5 zinazohitajika, nikaenda chuo na laki na nusu nikatimuliwa nikaja saidiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.