Habari jf, nina ndugu yangu anatafuta kazi za viwandani au zinazoendana na carrier yake. Ni msichana, umri 25, anaishi dar. Ana cheti cha hotel management! Pliz mwenye connection yoyote naomba msaada! Ni pm! Asanteni
Habar zenu, naomba mnisaidie, je kuna mtu alishawahi itwa na hawa watu (universal business dealers) kwa ajili ya kazi?! Na kama ndio, ilikuwaje! Au mnafaham chochote kuhusu hawa??!
Habari JF, kwa shughuli za accounting na uandaaji wa journals na vitabu vingine vya accounting nipo hapa. Nina uziefu kidogo. Elimu yangu ni degree ya tax management. Pia nina uzoefu na secretarial works, good typing speed etc. Salary maelewano. Nipo Dar es Salam. Atakayenihitaji anichek pm or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.