Recent content by slaqueen

  1. S

    Nimeambiwa nitume Tsh 16,500 kwa ajili ya Interview RIFA CO LTD

    Usitume hata mm nlishatumiwa nao ila skuwapa hela..matapeli sugu wana kaz ya kuedit tareh ya sms tu. Tumestukaa
  2. S

    Natafuta Kazi za viwandani

    Ngoja nije huko inbobo
  3. S

    Natafuta Kazi za viwandani

    Sawa, lkn angependa kujua details zaidi ya kazi na payments pia ili ajue ajipangaje
  4. S

    Natafuta Kazi za viwandani

    Habari jf, nina ndugu yangu anatafuta kazi za viwandani au zinazoendana na carrier yake. Ni msichana, umri 25, anaishi dar. Ana cheti cha hotel management! Pliz mwenye connection yoyote naomba msaada! Ni pm! Asanteni
  5. S

    Agents,Universal bussiness dealers

    Habar zenu, naomba mnisaidie, je kuna mtu alishawahi itwa na hawa watu (universal business dealers) kwa ajili ya kazi?! Na kama ndio, ilikuwaje! Au mnafaham chochote kuhusu hawa??!
  6. S

    Je, RIFA consultants co ltd ni matapeli?

    Hata mimi nilitumiwa kama hiyo, nikaonge nae ila nilipomuuliza maswali tight alikata sim
  7. S

    Shughulika recruitment ni matapeli

    Hahaa, tustuke jaman
  8. S

    Accounting, book keeping and secretarial works

    Habari JF, kwa shughuli za accounting na uandaaji wa journals na vitabu vingine vya accounting nipo hapa. Nina uziefu kidogo. Elimu yangu ni degree ya tax management. Pia nina uzoefu na secretarial works, good typing speed etc. Salary maelewano. Nipo Dar es Salam. Atakayenihitaji anichek pm or...
  9. S

    Nahitaji secretary

    Nadhani yeye atatakiwa kubagein kwa elimu ya kiwango hicho au kutokana na majukum yake tu. Hivyo akituma maombi atakuwa ameelewa tayari
  10. S

    Natafuta kazi

    Wait waje wahusika, usiskilize povu
  11. S

    Natafuta kazi

    Kwani shida iko wap kwnye huo uzi wake jman
Back
Top Bottom