Unaeza ukaungwa Freemason ivi ivi salamu ya dini dini ghn? c ataje 😂😂😀Wanangu angalieni sana msije mkajaa kweny mifumo People are differ Guys
Kama yeye kashaenda kwa 2star general wake Aende tu waendeleee kusalimiana na salamu zao za dini😀😀😀 #MUNGU NI WETU SOTE
Tanzania kubwa jaman Ivii kila mtu akisema aende makao wakajazane kama kuna usahili ingekuwaj mpk wa Zanzibar nao waendee makao kweliii.....kikubw ni kutuma kwa wakati kwa walio tumia posta. na kwa wakalibu sio mbaya mkipeleka kwa mkono makaoo basii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.