Hi Mayowela, asante sana kwa ujumbe huu, hakika unaonekana kunifuatilia vyema. Ulichosema ni sahihi kabisa na nimeshaanza kukifanyia kazi. Nakuahidi baada ya mwaka mmoja nitakufurahisha. Pamoja sana
Dear Uncle Magufuli,
Japo salamu hii hufaa kutamkwa kwa mdomo, lakini acha tu niseme Shikamoo Uncle Magu. Pole na kazi. Mimi sijambo kabisa. Nilitaka kukupigia simu lakini haina chaji nimeipeleka kwenye duka la Mtifuamchwa kuchaji ? si unajua ndiye mtu pekee mwenye jenereta hapa kijijini...
Nakumbuka siku napata wazo la kuandika vitabu vya Maisha, Mapenzi na Maumivu ilkuwa ni usiku kama saa mbili kasoro hivi. Ulikuwa ni mwezi February, 2015 kama sijakosea. Nilikuwa na mke wangu tukijiandaa kula chakula cha usiku. Nina tatizo moja - kama nikipata wazo fulani hujikuta nikitaka...
SKY KWANINI UMEAMUA KUANDIKA KITABU CHA BEYONCE NA JAY Z BADALA YA KUANDIKA HISTORIA ZA WATU WA TANZANIA NA AFRIKA? HILI NI SWALI NINALOULIZWA SANA NA NADHANI NITAULIZWA ZAIDI KITABU KIKIZINDULIWA RASMI DECEMBER 4 MWAKA HUU
1. Nimewahi kutoa kitabu cha sauti cha Mtemi Mirambo: Sultani Mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.