Duhhhhh
Hiyo si ni sawa na ile unakwenda kwa mwalimu kulalamika uongezewe marks ,halafu badala ya kuongezewa unashangaa anaanza kuupitia upya mtihani at the end marks zinapunguzwa
Je kukata rufaa kwenye bodi ya mikopo HESLB ni kwa ajili ya wale tu waliopata mkopo usioridhisha au pia ni hata kwa wale ambao majina yao hayajatokea kwenye list ya wanufaika wa mkopo kutoka HESLB???
Mbona batch ya tatu ya wanufaika wa mkopo kutoka Heslb ina majina 7901 kati ya 8323 yaliyotarajiwa ili jumla ya majina yote yawe 30000 kama Heslb walivyotangaza.
Je majina 422 yaliyosalia kutakuwa na batch ya nne kwa ajili yao????
Kama ipo itatoka lini???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.