Recent content by Skull dance

  1. Skull dance

    JamiiForums Tanzania THROWBACK: Demu wangu - Mchizi Mox ft Ngwair nani alipiga verses kali?

    Inanikumbusha jeshini wakati wa uzalendo tulikuwa tunaimba huu wimbo tukiwapa mabango maafande. Demu wangu jamani deemu wanguuu... Demu sio wako, binti mzalendo kwanini unamshobokea? Tatoo pajani, kachora nani? Kuchora kitu gani? Unaweza ukachora na bado usione ndani!
  2. Skull dance

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Japo kisheria hairuhusiwi ila naomba niulize, Kwanini sasa hivi hakuna video za ngono za kawaida za wabongo?

    Mkuu samahani kidogo hapo ulipomalizia kuhusu wanaume wanaoshiriki huo ushenzi, kuwa ni wabaya wabaya na sijui nn vile... Ina maana wewe ukiingia huko huwa unafatilia wanaume zaidi kuliko wadada?
  3. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku za karibuni naombeni mnipokee

    Ni vizuri tukajua wewe ni me au ke? Tusije tukaja kichwa kichwa pm
  4. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Nanyamba: Mwanamke ajitosa kisimani baada ya kupewa talaka na mume wake

    Amejitosa ikawaje? Amepelekwa hospitali? Amefariki au anaendeleaje? Hebu malizia taarifa.
  5. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Tunampost kwenye mitandao ipi, kama kweli sisi ndio tumemleta Rio na Mkewe ili kukuza utalii na kujisafisha na damu za October 29 2025?

    Ni matumizi mabaya ya pesa tu, wamekuja mastaa wangapi bongo wanazunguka wanasepa, nyie mnapambana kumleta Rio kwa pesa zetu, kumlipia safari zote pamoja na kumpa posho halafu mnamlazimisha apost? Mwacheni ale penshen zake wajinga ndio waliwao!
  6. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Jina la mtu halina mahusiano yoyote na dini, kumbuka magaidi wate ambao wanatakuliwa wa makundi ya kiislam huwa hawahusishwi moja kwa moja kwa kupitia majina yao au mavazi yao ya kushabihiana na uislam, bali hutambulika kupitia makundi ya kiitikadi kali za uislam kukiri kuwa watu hao ni wa kwao.
  7. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupima HIV, japo matokeo ni mazuri lakini siamini.

    Mbona na mimi nasumbuliwa sana na tumbo + homa na uchovu? Je hizo ndo dalili za ngoma?
  8. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    'Mwamedi kitimoto!' dah! Hii ni noma
  9. Skull dance

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu amenikasirikia kisa mwanamke ambae hajawahi hata kumu-Approach, Je? Ni mapenzi ya dhati!! Au anatafuta sababu?

    Ni sawa kwa jamaa yako kukuita snitch, kwa sababu ishu ilikuwa ni jamaa ndo kamuelewa huyo katoto wewe ulikuwa huna mda nae, kama umemwomba namba na akakupa halafu ukamega ilitakiwa upge kimyakimya halafu jamaa akija ujifanye hakuna linaloendelea kati yenu. Jamaa angepambana angefeli maisha...
  10. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za umeme “Roam Air” kutoka Kenya, ndio mkombozi wa usafiri kipindi hiki cha mafuta bei ghali!

    Ila betri zake wameziweka njenje inaweza kuleta shida ya kuibiwa kiurahisi.
  11. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Makonda anapambania kumpa uraia chama ili asaidie kwenye timu ya taifa wewe hutaki abakie simba
  12. Skull dance

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Maxence Melo🎉🥳

    Live longer mkuu!
Back
Top Bottom