Jaribu siku mojamoja uangalie movie za kipelelezi na mission maalum za FBI na nyinginezo utajua kwa nini Rais anapewa kipaumbele kuliko kiumbe chochote kile.
Kuna huu wimbo wa miaka 18 wa Jay Melody umefanya watoto wengi kuingia kwenye mapenzi wangali wadogo kufuatia kuhamasisha kwake kuwa hakuweza kuvumilia awe mtu mzma ayaanze mapenzi. Nyakati hizo unatoka nilikuwa na library ya computer wateja wangu wengi wa huo wimbo walikuwa vibinti vidogo...
Samaki akiwa baharini unamtupia ndoano unaweka na chambo aliyenona baada ya hapo ukishampata humwekei tena chambo maana ni wa kwako kazi yako ni kumla tu. Nadhan nimeeleweka
Si umesema ni bure na hakuna gharama zingine zozote za huduma? Kwa nini usingeweka wazi namna ya kujiunga tu humuhumu jukwaani badala ya kutupa kazi ya kukupigia simu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.