Recent content by Skull dance

  1. Skull dance

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Huyu dogo mdomo utaiponza nchi yake.
  2. Skull dance

    Kuna mambo 21 tu ya muungano lakini katiba inavunjwa waziwazi

    No reform no muungano itapendeza
  3. Skull dance

    Arsenal wakitwaa ubingwa wa EPL haya yatatokea.

    Naomba uwe live JF wakati unanyoa mavuzi.
  4. Skull dance

    Afande: Ikitokea msafara wa rais umekutana na gari ya kubeba wagonjwa, basi msafara wa rais utaendele kupita na gari ya wagonjwa itasubiri

    Jaribu siku mojamoja uangalie movie za kipelelezi na mission maalum za FBI na nyinginezo utajua kwa nini Rais anapewa kipaumbele kuliko kiumbe chochote kile.
  5. Skull dance

    Valentine nilienjoy sana

    Kwa hiyo ina maana hukumvua nikabu?
  6. Skull dance

    Ukiwa muongo usiwe msahaulifu

    Duuuh! Mwamba ulikumbuka kula asubuhi? Maana nakumbuka jana tulipomaliza kuvuta bangi ulienda geto ukilalamika hujala.
  7. Skull dance

    Mungu anisamehe, niliwahi kufanya mapenzi kanisani

    Jamani shetani ana nguvu, mimi mwaka juzi nilikuwa mlinzi wa kanisa, kuna vibinti vikaagizwa kuja kufanya usafi jumamosi usiku kuandaa ibada ya jumapili. Ebwana eeh! Chupuchupu kabinti kamoja nipite nako ucku nilikuwa na upwiru balaa nikawa nimewawekea movie kwny simu yangu tukajifunika shuka...
  8. Skull dance

    BASATA: Yapo wapi maadili kwenye hii nyimbo "Darasa la saba ya Mbosso" inayohamasisha mapenzi kwa watoto wa shule?

    Kuna huu wimbo wa miaka 18 wa Jay Melody umefanya watoto wengi kuingia kwenye mapenzi wangali wadogo kufuatia kuhamasisha kwake kuwa hakuweza kuvumilia awe mtu mzma ayaanze mapenzi. Nyakati hizo unatoka nilikuwa na library ya computer wateja wangu wengi wa huo wimbo walikuwa vibinti vidogo...
  9. Skull dance

    Wanaotafuta Ndoa Tu – Uzi Rasmi wa Kuunganisha Wachumba

    Kweli wewe ni DALALI MKUU yan udalali hadi kwenye mahusiano? Sawa mkuu tunasubiri updates za mabinti waliokufuata pm ili tujaribu bahati zetu
  10. Skull dance

    Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?

    Samaki akiwa baharini unamtupia ndoano unaweka na chambo aliyenona baada ya hapo ukishampata humwekei tena chambo maana ni wa kwako kazi yako ni kumla tu. Nadhan nimeeleweka
  11. Skull dance

    Hatukuuzii Bando, tunafanya line yako iweze kununua vifurushi kwa bei nafuu.

    Si umesema ni bure na hakuna gharama zingine zozote za huduma? Kwa nini usingeweka wazi namna ya kujiunga tu humuhumu jukwaani badala ya kutupa kazi ya kukupigia simu?
  12. Skull dance

    Nina haki kama binadamu ya kupenda tena

    nasubiri kuona post yako mkuu kwenye ule uzi wetu pendwa wa kula tunda kimasihara!
  13. Skull dance

    Jirani yetu wa kike analalamika Wachungaji walikuwa wakimtekenya maziwa walipokuwa wakimuombea

    Kwa hiyo wanawake wakitekenywa maziwa wanaanza kurukaruka na kuongea mambo yasiyoeleweka? Ache kuharibu tasnia za watu
Back
Top Bottom