Mkuu samahani kidogo hapo ulipomalizia kuhusu wanaume wanaoshiriki huo ushenzi, kuwa ni wabaya wabaya na sijui nn vile... Ina maana wewe ukiingia huko huwa unafatilia wanaume zaidi kuliko wadada?
Ni matumizi mabaya ya pesa tu, wamekuja mastaa wangapi bongo wanazunguka wanasepa, nyie mnapambana kumleta Rio kwa pesa zetu, kumlipia safari zote pamoja na kumpa posho halafu mnamlazimisha apost? Mwacheni ale penshen zake wajinga ndio waliwao!
Jina la mtu halina mahusiano yoyote na dini, kumbuka magaidi wate ambao wanatakuliwa wa makundi ya kiislam huwa hawahusishwi moja kwa moja kwa kupitia majina yao au mavazi yao ya kushabihiana na uislam, bali hutambulika kupitia makundi ya kiitikadi kali za uislam kukiri kuwa watu hao ni wa kwao.
Ni sawa kwa jamaa yako kukuita snitch, kwa sababu ishu ilikuwa ni jamaa ndo kamuelewa huyo katoto wewe ulikuwa huna mda nae, kama umemwomba namba na akakupa halafu ukamega ilitakiwa upge kimyakimya halafu jamaa akija ujifanye hakuna linaloendelea kati yenu. Jamaa angepambana angefeli maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.