Nimewahi kulizwa na mapenzi mara 1 tu nilipokuwa form 1 baada ya kutoswa na kadada tulichopendana toka darasa la 3, nikala kiapo sitokuja tena kulizwa na mapenzi, ndo mana mpaka leo I do just for fun!
Sitongozagi wanafunzi, sitaki kusumbuana na serikali, watu wazima wanajitambua na ukiwatongoza wanajua kabisa ni kusogeza usiku tu, hakuna mambo ya kudanganyana kila mtu ana maisha yake.
Mi ndo sijielezagi namna hiyo huwa naenda direct kwenye point... "unajua wewe ni mzuri? Njoo basi unitembelee geto baadae" ndo nimemaliza kusuka au kunyoa ni wewe na ukikubali ndo suala la namba na mambo mengine ya mgegedo yanafuata.
JF ya miaka ile tulikuwa tunaingia kutafuta programs za computer za uhakika kwa free, vitabu vikali, ushauri mzuri na msaada katika ngazi mbalimbali hadi serikalini na ngoma kali mbalimbali ambazo huwezi kuzipata hata youtube. Lakini sasa hivi ni tofauti ni vijembe tu, umbeya na umalaya ndo...
Usiseme wa sasa kama vile kulikuwa na wazamani, wamasai siku zote ni warembo wewe ulichelewa tu kutembelea pande hizo wenzako long time kitambo nilisoma chuo Moshi nilikula sana wamasai watoto wazuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.