Recent content by SKIDDO

  1. S

    Ajali mbaya mlandizi

    Pole kwa kila mwana jamii atakayeguswa na misiba hiyo popote alipo. Mungu ailaze pema miili ya marehemu wote na kuwapa kupona haraka majeruhi wote.
  2. S

    Chupuchupu Chinjachinja ya CCM Arusha

    kaza uzi bro! Ingekuwa dini ningesema ufe ili sisi wenye shida tuokolewe na mdomo wa chama cha mafisadi, lakini nakuomba sasa nawe uwe ngangari hasa kujua kila kona ya hao chinjachinja na ikibidi upite naye mmoja kimtindo ili wajue jamii huru iko nyuma yako, unaweza kuweka kambi maalumu mahali...
  3. S

    Mke wa mtu ananipenda nifanye nn na ananitishia maisha

    Sasa Chuo kinakusaidia nini?? After all, tunapata experience ya vitu kama hivyo kutoka vyuoni, kama amejileta kula, then kesho yake akirudi mzushie mwizi na washikaji wakiwepo, au njoo nikuazime mtutu umgusishe kwenye shingo yake apate kaubaridi hatarudi ng'o!!
Back
Top Bottom