mh thnx kwa kuliona hilo.kwa ufaham wangu mdogo nafahamu kuwa serikali zinawekwa ili kusimamia rasilimali za nchi kuwa na manufaa kwa wananchi wote nachokiona hapa kwetu tanzania nikupora masikini wengi na kuongezea matajiri wachache wanaopata unafuu wa kodi za kila aina jamani watanzania yuamke...
wadau naombeni msaada ninasumbuliwa na vipele kisogoni nina zaidi ya mwaka nimepata hivi vipele nimetumia dawa nyingi sana bila ya mafanikio mwenye ufahamu wa dawa ya vipele hiyo naomba msaada
Naunga mkono asilimia mia moja coz hizo chanel ni free to air so once king'amuzi kikiisha vocha chanel zote zinakatika ina maana wao star times wanaangalia fedha zaidi kuliko makusudio ya chanel hizo,hii ni kwa watu wa mikoani sifahamu kwa dar ikoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.