wadau naombeni msaada ninasumbuliwa na vipele kisogoni nina zaidi ya mwaka nimepata hivi vipele nimetumia dawa nyingi sana bila ya mafanikio mwenye ufahamu wa dawa ya vipele hiyo naomba msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.