Recent content by sjm2006

  1. sjm2006

    Misemo ya Mpoki jamani!

    kukesha ni mbwembwe ujanja kufaulu
  2. sjm2006

    Je Ungependelea Muundo Gani wa Muungano au Hautaki, Piga Hapa

    ninapendelea muungano hubaki kama ulivyo ila kasoro ndogo ndogo zilizopo zirekebishwe kwa wananchi wa pande zote husika kushirikishwa ipasavyo. Kwani wananchi si kama hawaupendi ila ni hizo kasoro tu!
  3. sjm2006

    Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

    mh! ndugu yangu kama vyanzo vyano vya habari ndio vimekupa hii taarifa basi nimatumaini yangu taarifa unazo post humu sio za uhakika!!!!!!!!!!!!!!!1
Back
Top Bottom