Recent content by sizahands

  1. S

    Uhamiaji vipi jamani?

    uhamiaji tunasubiri hayo majina,why taking so long?
  2. S

    TANROAD Tanga vipi?

    Kaka tafadhali nichekie Biteko Taggi-shift in charge
  3. S

    Hivi hawa vodacom ni makanjanja?

    Sim yangu sio smart lakini bdo salio linakatwa,lastwk niliweka elf mbili,sikutumia huduma yyt,kuangalia salio baada ya dk10 nkakuta sh600,VODACOM ni WEZI WAKUBWA.
  4. S

    Kuhusu ajira mpya za walimu 2013/2013

    Majina ya walimu yatatoka by thursday nextwk kadili ya maelezo ya jiran yangu mfanyakazi wa pspf ambae anadahili walimu kwenye mfuko,stay tuned.
  5. S

    Arsenal wapewa jina jipya la 8.6 bavaria

    Moyo wako umefurahi gooners kupoteza mechi,umesahau nyie mlilala ngap pale?Upo nafac ya ngap kwenye log?Arsenal ar stil 2 points clear,jipange Hull city anakungoja nxtwkend!
  6. S

    Tigo tutakutana mahakamani

    Wamejiakikishia kulindwa kwa kuweka vigogo kwenye board zao,wizi wa Tigo na Voda unatuletea hasara sana na usumbufu,faida ya kuuza vocha haiwatoshi??Voda wamenitapeli walinitetx nmeshnda zawad kutuma mdg kwnda no.walionielekeza wakanikata pesa na zawadi sikuiona,they becom so greedy mamlaka ya...
Back
Top Bottom