Recent content by SIZA AGROPROCESSING

  1. S

    Kilimo cha miti Mufindi.

    Wape ukweli wasije wakalizwa!
  2. S

    Mashine za kutotolea vifaranga

    Hapana,hayajarutubishwa(fertilized) kwani kuku wale wanafugwa bila majogoo.
  3. S

    Mashine za kutotolea vifaranga

    Hatuna limitation,tray ni Tsh 10,000,kama uko mbali na Mafinga tutakupakizia na utayapokea na kulipia gharama za usafiri.
  4. S

    Mashine za kutotolea vifaranga

    Ukishawauzia mashine waambie wateja wako wafike Mafinga-SIZA AGROPROCESSING & GEN TRADERS LTD Wapate fertilized eggs wa kuku wa Malawi, kwa maelezoo zaidi wapige 0754419458.
  5. S

    Mawakala wa kusambaza na kuuza sembe,mchele,vifaranga,chakula cha kuku na kuku

    Tupigie simu tutakujibu kwa namba zifuatazo-0755266644 au i 0754419458 au 0754476976,. KARIBU
  6. S

    Mawakala wa kusambaza na kuuza sembe,mchele,vifaranga,chakula cha kuku na kuku

    SIZA AGROPROCESSING NI KAMPUNI UNAYOJISHUGHULISHA NA USINDIKAJI WA NAFAKA NA UFUGAJI NA UZALISHAJI WA KUKU WEUSI WA MALAWI,KWA WANAOHITAJI HUDUMA ZETU TUWASILIANE TUANZE KUFANYA BIASHARA. kWA SAS TUNATAFUTA MAWAKALA WA KUUZA SEMBE,MCHELE,KUKU,MAYAI NA CHAKULA CHA KUKU MIKOA YA...
  7. S

    Re: Nahitaji mayai kwa ajili ya kutotolesha

    kama ni kuku weusi wa malawi tuwasiliane kwa 0754476976 mayai yapo ya kutosha,
  8. S

    Tajirika kwa kufuga kuku Weusi wa Malawi wanaofaa kwa kutaga na nyama

    Wanakua na kufikia uzito wa kilo 4 UJASIRIAMALI ni jambo jema katika mapambano dhidi ya umasikini, lakini pia ili kuweza kuwa mjasiriamali, yanahitajika maarifa ya ziada, ikiwamo ubunifu katika kuboresha shughuli unazozifanya ili ziwe na tija. Nilipomtembelea kijana Peter Kitembe nyumbani kwao...
  9. S

    Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

    Waje wapate shule ya ujasiriamali,wapate pesa halali baada ya kufanya kazi halali.
  10. S

    Wanaohitaji kuku chotara wa malawi(vifaranga na mayai),sembe na mchele wa mbeya tuwasilianae

    Kwa wale wafanya biashara wanaohitaji kufanya biashara ya mazao hasa ya mchele wa mbeya na sembe ya Iringa wawasiliane nasi ili tuweze kuweka vizuri mipangao ya biashara. Pia wanaopenda kufuga Kuku weusi(Korongo) wa Malawi wenye uwezo wa kutaga vizuri na kuhimili magonjwa mbalimbali wanaweza pia...
  11. S

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    utafiti huu alifanya nani?
Back
Top Bottom