Mimi ninayo mwaka wa sita sasa ni gari nzuri zinatembea sana na zina nguvu, watu tu wanadanganyana nimeenda nayo Tukuyu Mbeya mara mbili kutoka Dar, Dodoma mara nyingi sana na bado ipo vizuri.
Kalenga ni sehemu ya Iringa iliyochini sana kimaendeleo hata ukicheki vituo vya kupigia kura ilibidi vijengwe vya nyasi, hii inaonyesha jinsi gani majimbo ya ccm yapo nyuma kimaendeleo
hata huoni watu wanaangalia na kuwasikiliza viongozi na sio helkopta, helkopta ipo nyuma watu wanatazama mbele, kweli mmechanganyikiwa magamba, kila kitu kina mwisho na huu ndio mwisho wenu na hela zenu mlizompa zitto zimeenda bila mafanikio, walatini wanasema vox populi vox Dei yaani sauti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.