Wakuu poleni na purukushani za kujitafutia mkate wa kila siku.
Kwa mwenye kufahamu wapi nikifungua biashara tajwa hapo juu naweza kupata mzunguko mzuri?
Tafadhari share nami location nikapambane mwenzenu, maana hapa nilipo hainilipi kabisa.
Napendekeza iwe mkoa wa Morogoro au Pwani. Hata...
Jizi lingine hili huku, pamoja na kwamba ni li-sukuma gang na sasa limetupwa nje ya meza ya chakula, lkn linapo kuja suala la wizi wa fedha za umma linasimama na all gangs!
Halafu wakilibinya kende huko linakuja huku linalilia katiba mpya ambayo wakati wa mshamba yule lilisema katiba siyo...
Hayo ya upumbavu na uwerevu ni ya kwako maana siasa za hoja uvccm hamuwezi ila matusi tu, ubabe na vitisho.
Kwa hiyo ww ndo kakuambia hiyo aliyoitoa ni taarifa? Na kama ni taarifa kwa nani?
Kama anawajua hao watu wa hovyo na mafisadi, why asiwashughulikie badala yake anahangaika na Mbowe?
Rais analalamika, wananchi wanalalamika! Nchi ngumu sana hii aisee.
Asante kwa kumtukania ulemavu mlio mpa wenyewe, bahati nzuri pia kesho yako ni fumbo. Kuna kitu kinaitwa "KARMA" hakinaga mchezo hicho, kama huamini mpigie cm meko akuhabarishe.
Kweli Tz kuna wanafiki kupindukia khaa!
We jamaa si ukikuwa msifiaji kindakindaki wa mwendazake? Haya unayomsifia leo SASHA si ndo uliyapinga na kusimama na ngosha wakati CDM wanayapigia kelele? Wewe si ndo kila siku ulikuwa unajipendekeza mpaka kutia kinyaa kwa kupost utumbo hapa jf ukikagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.