Recent content by siwacheusi

  1. S

    Kazi ya kuuza duka la decoration za nyumba

    Habari Wadau! Naomba ushauri wenu ipi ni faida ya mtu anayefanya kazi ya kuuza duka la decoration za nyumbani( ikumbukwe duka sio lake isipokuwa ameajiriwa kuuza vifaa kwenye duka hilo) Nitashukuru sanaa kwa mchango wa maoni yenu
  2. S

    Mafuta mazuri ya ngozi yenye mafuta kwa wanaume

    Hii inaitwa kujipenda urembo ni kwa wanawake..na kama mafuta ya kutatua ttz yapo why nisiulizie?
  3. S

    Mafuta mazuri ya ngozi yenye mafuta kwa wanaume

    Nadhani kama huna msaada ungepita tu..co lazma ujibu kejeli
  4. S

    Mafuta mazuri ya ngozi yenye mafuta kwa wanaume

    Currently ndo natumia babycare ila cjaona changes
  5. S

    Mafuta mazuri ya ngozi yenye mafuta kwa wanaume

    Habari Wadau! Naomba mnishauri mafuta mazuri ya kiume kwa ngozi ya mafuta... Asanteni sanaa
  6. S

    Naombeni review ya hii perfyum

    Review ni maelezo kuhusu hii perfyum kwa wale walioitumia...wanailezea zaidi..kuhusu harufu yake, kukaa kwenye nguo..kuwasha endapo itagusa ngoz...n.k.yani vitu kama hivyo
  7. S

    Chimbo la nguo za kiume mtumba kwa Dar

    1.Mashati ya mikono mirefu na mifupi 2.Suruali za kitambaa na cardetis 3.Moka nzuri za kijanja NOTE; NAOMBA CHIMBO LIWE LA MTUMBA
  8. S

    Naombeni review ya hii perfyum

    Habara za wakati huu wadau! Naomba kwa aliyewahi kuitumia hii perfyum naomba maoni yenu. Asanteni
  9. S

    Msaada: Wapi naweza kupata hii?

    Habari wadau! Naomba anayejua wapi naweza kupata zile pamba ila sio pamba halisi zinawekwa kwenye mito ya kulalia au ile mito midogo ya sebuleni. Picha kwa uelewa zaidi
  10. S

    Wapi naweza kupata sufi (ile inayowekwa kwenye mito ya kulalia na kwenye pillow cases)?

    Habarani wadau! Naomba anayejua wapi naweza kupata zile pamba, ila sio pamba halisi zinawekwa kwenye mito ya kulalia au ile mito midogo ya sebleni. Picha kwa uelewa zaidi.
Back
Top Bottom