Hivi kuna kigogo kushinda rais wa nchi??rais alishaahidi mara kadhaa kuwa ajira ni januari mwaka huu.hicho kimbelembele chako umekitoa wapi?? kwani mwezi wa kwanza umekwisha??:confused2:
Mambo mengine hayahitaji siasa wala protokali.ni kufanya maamuzi sahihi kwa wakati muafaka hayo mengine yafuate.kaza buti kamanda lema hapo ndo kwaanza safari inaanza tunasubiri kwa hamu mambo mengi mazito bungeni,,.,
mzee mangula rudi nyumbani ukaendelee na kilimo cha nyanya.wakati wako wa kufanya siasa ulishapita.jiulize umefanya nn kule kanda ya ziwa?AIBU KUBWA KWA MZEE KAMA WW KUWA NA MIKAKATI ISIYO NA TIJA KWA CHAMA CHAKO NA KWA TAIFA LAKO:confused2:
haya yote yanatoka wapi wakati huu?mara mfumo kristo,mara uamsho na sasa mambo ya machio.mbona hatukuwahi kuyasia kwa kiwango hiki siku za nyuma?SIO SIRI TENA SAKATA LA UDINI KWA SASA LIPO WAZI KULIKO WAKATI WOWOTE ULE.NA HAWA VIONGOZI WETU WANACHANGIA KUYAPA SURA MBAYA MAMBO HAYA.
umesema kweli mzee lyatonga.huu ni wakati muafaka kwa serikali yetu kufanya kazi kwa matwakwa ya wananchi waliowaweka madarakani.haiwezekani hawa watawala kupanga na kuamua kila kitu pasipo kuwashirikisha wananchi ambao ndio wadau.WANANCHI TUAMKE!! SERIKALI NI WATUMISHI WETU.SISI KWA UMOJA WETU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.