napenda sana hyo corse ya agronomy ndoto zangu zitatimia nikisoma hii kitu, ila kwasasa niko kwajobu but mwakani panapomajaliwa sua inanihusu coz ntakuwa nimetimiza vigezo vya kujoin chuo, plz niombeen wanaJF wenzangu niko njiani kuelekea kutimiza ndoto zangu.
mimi sioni kama kutakuwa natatizo kwa upande wa tanzania bara ikiwa muungano utavunjika! Maana wazanzibar waliuomba wenyewe huu muungano! Nataka muundo wa tanganyika huru na zanzibari yao hainashda kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.