Recent content by sita baba

  1. S

    Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

    Nikweli lakin kpgo hcho hakistahli kunanamna nyngne.
  2. S

    Photos: Giant whale shark caught in China by local fisherman

    mh! Wangemuacha huyu mvuvi wakawaida akapga hela.
  3. S

    Ushauri kozi ya Agronomy

    napenda sana hyo corse ya agronomy ndoto zangu zitatimia nikisoma hii kitu, ila kwasasa niko kwajobu but mwakani panapomajaliwa sua inanihusu coz ntakuwa nimetimiza vigezo vya kujoin chuo, plz niombeen wanaJF wenzangu niko njiani kuelekea kutimiza ndoto zangu.
  4. S

    Basi la AM Coach lapata ajali Ipuli na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja

    kama bus liliktwa bovu kwenye usukani, trafic wa stand wanafanya kazi gani?
  5. S

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    mimi sioni kama kutakuwa natatizo kwa upande wa tanzania bara ikiwa muungano utavunjika! Maana wazanzibar waliuomba wenyewe huu muungano! Nataka muundo wa tanganyika huru na zanzibari yao hainashda kabisa.
Back
Top Bottom