Sisi wenye migodi nje ya ukuta tukihitaji milipuko hapa Mzinga Arusha tunaambiwa hakuna ila ukienda kwa walanguzi ipo na wanatuambia wamechukulia Mzinga.
Ni mwezi wa pili sasa kila nikifuatilia naambiwa hakuna.
Arusha unaambiwa hakuna ukienda Mirerani Mzinga ipo, na kwakuwa utaratibu wa kutoa...
Hiyo ni kweli kabisa kuna jamaa kavunjiwa kaibiwa computer na monitor na camera njia ya kuingia ziga,wamevunja kwa mama ngijo na maduka mawili eneo la msikitini Ccm hoyeee.Inajirudia enzi za Nkya akiwa mwenyekiti yeye na genge lake.
Bora kangi lugola kulikoni huyu simbachawene,huyu anakashfa ya kumsumbua kangi lugola awasaidie wakenya waliojichukulia uraia kinyamela.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu simbachawene fala sana kuna wakenya wamejipa uaraia Watanzania na kudhulumu migodi ya Tanzanite ambao wanatumiwa na viongozi wa Kenya kutorosha madini yetu amewapeleka kwa waziri kangi lugola ili apindishe maamuzi ya uhamiaji.Kuna tetesi amepewa dollar 50 elfu awasaidie kikao vilianzia...
Mirungu sio dawa za kulevya Tanzania tulidanganywa na mrema kwa kutaka misifa.Kenya wanasali kila siku Tanzania isiruhusiwe weendele kupiga hela.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.