naomba msaada ndugu zangu wa jf, ukiwa unaenda kuhamia chuo flani kwa mujibu wa taratibu walizotoa TCU 2016-2017, mfano nimepangiwa SAUT-MWANZA kozi ya BAED alafu nataka nihamie ARDHI na pia nikahitaji kubadilisha kozi ambayo naitaka labda ni Economics na ninavigezo na hiyo kozi: SWALI LANGU...
msaada kwa leo/ swali la mwisho kwa leo: inamaana haina haja ya kwenda/kuripoti chuo ambacho ulichochaguliwa awali kama hujaridhika nacho hapa namaanisha unaenda moja kwa moja chuo unachotaka kuhamia na hizo taarifa au vigezo walivyosema tcu????
kwa mfano mtu hakuomba mkopo kabisa kutokana na sababu mbalimbali binafsi, je akifika chuoni anaweza kuomba mkopo na ni atua gani ambazo atatakiwa azifanye ili aweze kuomba mkopo
naomba kuuliza kwa mfano nimechaguliwa UDSM kutokana na ada yake kwa hiyo kozi niliyochaguliwa kuwa kubwa nikataka kwenda labda SAUT, natakiwa niandike barua kwenda SAUT pasipokuomba tcu au maana cjaelewa bado au nini natakiwa kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.