Bora uwaambie kaka,tatizo lao wana macho lakini hawaoni,wanamasikio lakini hawasikii,pia wana modomo hawasemi wakiogopa lawama.Tindu ni tatizo pale cdm.mambo yake mengi ni yakukurupuka, anajaribu kuwapaisha akina Mbowe na Silaa kwanjia zisizofaa.sikuzote akili ndogo haiwezi kuiongoza akili...
Hakika watanzania wenzangu tuamke kwa maslahi ya watanzania wenzetu hususani wale wasiojua kusoma na kuandika, watoto wadogo, wazee na wote wasio na mamlaka katika nchi. Hivi ni Nani aliyewaloga wasomi wetu? Hivi ni kweli nchi INA wasomi na wataalam?
Leo napenda niongelee jambo moja tu...
Tatizo ni kushabikia mambo bila kuwa na uhakika na unachoshabikia.
walio wengi wanasababu za mapokeo,ukiwauliza wakupe sababu za msingi za kumwita Zito msaliti watakoti magazeti.
Hata huyo lisu anajua hana hoja ndiyo maana anakimbilia press,uanachama hauvuliwi kwenye press,huyu mwanasheria...
Kaka nirahisi kutamka neno "msaliti" yanini kuendelea kutoa kashfa zote hizo?
Mimi nadhani nyote mnaoona kuwa Zito zuberi ni msaliti kama ambavyo mnaamini, mgejaribu kuueleza usaliti wake ili sisi nasi tuweze kuufaham, kwani hata katika maelezo yake angependa kufahamishwa juu ya usaliti...
Kakobe acha majigambo.matokeo ya Nani kaokoka na Nani siyo ni ile siku ya ufufuo.watakao kuwa mkono wa kuume na wale watakao kuwamkono wa kushoto.hapo ndipo utakapo jijua mahali pako.kwa sasa tuendelee kuomba ili siku ya mwisho tushiriki pamoja na mwenyezi Mungu.Kakobe upo?
Awali ya yote napenda kuwapongeza watumishi wote wa wizara ujenzi wakiongozwa na mh Magufuli. Sina tatizo na utekelezaji wa majukumu yao, ila ninashindwa kujua ni utaratibu gani wanayotumia katika kutekeleza zoezi hili LA bomoa bomoa kwani inashangaza kuona maeneo kama Kibamba watu wanaendesha...
Big up boy!!
Wao waseme wewe piga kazi.wananchi tunaona.nani mpiga.debe na nani mchapa kazi.
Kinachowauma pale chamani wengi wao ni vilaza wenye sera za.ukaskazini.watasubiri sana!kaza buti kaka,sterling hauwawi mpaka sinema iishe.
Mimi nadhani jambo lamsingi nikuwaambia watanganyika hoja zamsingi zinazoainisha manufaa ya watanganyika ndani ya muungano na hasara itakayojiri nje ya muungano.
haipendezi kusikia kila uchao manufaa ya muungano au madhara ya muungano kwa nchi moja.
ni ukweli kuwa Zanzibar...
kaka unamatatizo yakupenda bilahatakujua kama nawewe wanakupenda!kimtazamo unaonesha wazi kuwa unaamini Mbowe na Silaa nikama manabii.
kabla hujamkashifu mtu,tuambie mabo yamaana kabisa ambayo umewahi kufanya hapa duniani walau yathibitishe kuwa wewe siyo wale walioshikiwa akili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.