Recent content by sirside123

  1. sirside123

    wl u welcome me?

    Asante mkuu
  2. sirside123

    wl u welcome me?

    Asante mkuu. Nishapta!
  3. sirside123

    Nikaribisheni JF!!!!!

    karbu mjengoni
  4. sirside123

    Karume 'mpuuzi', lakini ukweli wake mchungu

    Yap, ameonesha mfano wa kuigwa kwa wanasiasa wengne wanaopenda maendleo ya nchi, hata km wanatoka chama tawala.
  5. sirside123

    wl u welcome me?

    Hahah, uckus2e sn mkuu. Thnx
  6. sirside123

    Karume 'mpuuzi', lakini ukweli wake mchungu

    ALIYEKUWA Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume ametoa kauli ambayo inaonekana kukinzana na msimamo wa chama chake na Serikali kuhusu hali ya kisiasa Visiwani. Akiwaaga wana CCM wenzake baada ya kustaafu nafasi ya Makamu Mwenyekiti Tanzania Zanzibar juzi mjini hapa, Karume alitoa hotuba...
  7. sirside123

    Karume 'mpuuzi', lakini ukweli wake mchungu

    Yes, u r absolutely r8
  8. sirside123

    wl u welcome me?

    Hahah, owk. Nimekupata
  9. sirside123

    wl u welcome me?

    Thnx alot
  10. sirside123

    Karume 'mpuuzi', lakini ukweli wake mchungu

    Hotuba ya Rais mstaafu wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM Zanzibar, Dk. Amani Karume, ambayo iliwaudhi baadhi ya watu lakini naamini ujumbe wake mzito uliosimama kwenye ukweli utakuja kukumbukwa na hao hao si miaka mingi kutoka sasa. By: Ismail Jussa
  11. sirside123

    wl u welcome me?

    Asante bro
  12. sirside123

    dah, hii kali

    Mkulima m1 mchamungu alikuwa anatoka shambani ghafla akakutana na simba kwavile gakuweza kukimbia alipiga magoti akafumba macho kumuomba msaada mungu simba asimle ile anafumbua macho anamuona simba nae kapiga magoti kwa mshangao mkulima akasema aah! Jaman kumbe na ww ni mkristo? Simba akajibu...
  13. sirside123

    KIPINDI CHA ORIGINo KOmEdI

    samak wa kuchora hana shombo
Back
Top Bottom