ALIYEKUWA Rais wa Zanzibar, Amani Abeid
Karume ametoa kauli
ambayo inaonekana
kukinzana na msimamo
wa chama chake na Serikali kuhusu hali ya
kisiasa Visiwani. Akiwaaga wana CCM wenzake baada ya
kustaafu nafasi ya Makamu Mwenyekiti
Tanzania Zanzibar juzi mjini hapa, Karume
alitoa hotuba...
Hotuba ya Rais mstaafu wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM Zanzibar, Dk. Amani Karume, ambayo iliwaudhi baadhi ya watu lakini naamini ujumbe wake mzito uliosimama kwenye ukweli utakuja kukumbukwa na hao hao si miaka mingi kutoka sasa.
By: Ismail Jussa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.