sirside123
Member
- Feb 26, 2013
- 20
- 6
Ahsnante mkuu. Ila hz ndio siasa za ccm. Hawapendi kusikia tofauti na wanachokitaka au kukiamini wao. Ila nmependa amefunguka vzr na sasa yuko huru.
Yap, ameonesha mfano wa kuigwa kwa wanasiasa wengne wanaopenda maendleo ya nchi, hata km wanatoka chama tawala.