Recent content by sirnkhauva

  1. S

    Fahamu kuhusu biashara ya kuuza nazi pamoja na uwepo wa masoko

    Wadau naomba kujua kuhusu biashara ya nazi:- Zinapatikana wapi kwa wingi? Soko likoje? Changamoto zake. Bei shambani na sokoni, Msimu wa upatikanaji Ushuru Naomba kujua kwanza hayo toka kwa mwenye uzoefu wa biashar hii tafadhari . Asanteni.
  2. S

    Nataka kufungua machinjio ya nguruwe

    Wadau naomba kupata uzoefu kwa mwenye uzoefu. Nahitaji kufungua machinjio ya nguruwe. Naomba mwenye uzoefu. Niombe radhi kwa alie imani nyingine wadau.
  3. S

    Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

    Kama magnesite na mengineyo.
  4. S

    Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

    Contact zao wadau.. Tuanze kuwaandalia baadhi ya raw material.
  5. S

    Business card design and printing

    Na tangazo la biashara yangu... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Business card design and printing

    Unapatikanaje nahitaji business cards Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom