Wadau naomba kujua kuhusu biashara ya nazi:-
Zinapatikana wapi kwa wingi?
Soko likoje?
Changamoto zake.
Bei shambani na sokoni,
Msimu wa upatikanaji
Ushuru
Naomba kujua kwanza hayo toka kwa mwenye uzoefu wa biashar hii tafadhari . Asanteni.
Wadau naomba kupata uzoefu kwa mwenye uzoefu. Nahitaji kufungua machinjio ya nguruwe. Naomba mwenye uzoefu. Niombe radhi kwa alie imani nyingine wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.