Recent content by SIRMWIJUMBE

  1. SIRMWIJUMBE

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Naweza kupata hiace superloof?yoyote ya diesel au petrol na yamanue au outomatic
  2. SIRMWIJUMBE

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Nahitaji hiace mkuu naweza pata ya biashara.
  3. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamani naombeni mawasiliano ya primiebet namba ambazo wameweka pale mbona huwa hazipatikani
  4. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ya mwaka Mpya hiyo! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kweli mpira dakika tisini!!
  6. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jamani mbona hawa jamaa sielewi hii mech moja dakika ya 80 mchezo ukaharibika sasa siwanilipe tuhizo ambazo zimekubali au utaratibu ukoje?
  7. SIRMWIJUMBE

    Hata mi sijaelewa

    Da kweli!
  8. SIRMWIJUMBE

    Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Ila mm niwashauri tu kama mkipata nafasi nendeni mkachukue viwanja Dodoma,mtakuja kujilaumu Dodoma utakuwa mji mzuri sana na waaina yake mm nawambia,Dodoma inakuwa kwa speed sana,Dodoma unaweza kwenda sasa mkoa wowote kwawepesi zaidi,kutakuwa fulsa nyingi sana Dodoma zitafunguka,lakini pia swala...
  9. SIRMWIJUMBE

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tunaomba mtuswapie line zetu za zamani za 3G kwenda 4G badala yakuwa na maline malini mawili mawili.
  10. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kweli bro!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Funga mwaka hiyo asante God!
  12. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nashukuru tumemalizana vizuri!
  13. SIRMWIJUMBE

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mbona wananipa matokeo game haijaisha na mpaka sasa ni 2-1 means ni 2.5 over
Back
Top Bottom