Recent content by sirmweli

  1. S

    Mtoto ambaye hataki kula chakula chochote

    Kuna madaktari wa watoto , mpelekeni mtapata ufumbuzi.
  2. S

    Unamkumbuka Mr Ebbo kwa kipi?

    Mzungu yupo sahihi kusema kagundua huo mlima kwa sababu ni yeye aliyetoka ulaya kuja Afrika hivyo vyote alivyoviona kwa wenzake ni ugunduzi
  3. S

    Unamkumbuka Mr Ebbo kwa kipi?

    Kwani kati ya hao mangi na mzungu ni nani alitoka na kwenda ulaya kuwaambia wazungu kuwa Kuna mlima mkubwa Afrika? Au wewe ulitaka huyo mzungu asemeje kwa wenzie?
  4. S

    Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

    Mbona niffer anapata hela nyingi?
  5. S

    Uteuzi wa Jokate Mwegelo ni uteuzi wa viwango

    Huoni unajichonganisha na walioteuliwa kabla ya huyo jokate. Siku wakipata vyeo vikubwa kushinda hicho Cha jokate utaweka wapi sura yako? Usutukuze mtu kupita kiasi hujui kesho yako
  6. S

    Watanzania tumpe zawadi gani Jesca Magufuli?

    Bila shaka wewe mtoa mada ni jinsia ke unayejifanya me
  7. S

    Waziri Biteko, tunazidi kuchelewa kwenye suala la urasimishwaji wa Madalali

    Yaani haya makusanyo ya Sasa yanatumika vibaya halafu wewe Unataka watu watafutaji wakamuliwe Kodi ambazo zinatumiwa vibaya.
  8. S

    Deni la Marekani ni $34 trillioni

    Unajua wanadai trillion ngapi?
  9. S

    Msaada wa fundi: Toyota Runx inabugia mafuta

    Mcheki member aitwaye (jitumirabaminne) ni fundi mzuri.
  10. S

    TANESCO wamepandisha bei ya umeme?

    Mtoa mada unashindwa hata kusoma risiti? Kodi ya jengo ni 1500/=
  11. S

    Natafuta tenda ya kuwa Tingo wa Malori

    Mmh hamna kazi ya utingo Dunia hii, somea udereva au UFUNDI
  12. S

    Diodes za altenator kuungua

    Mcheki member anayeitwa ( jitumirabaminne) atakutatulia shida yako kisasa zaidi.
Back
Top Bottom