Kwani kati ya hao mangi na mzungu ni nani alitoka na kwenda ulaya kuwaambia wazungu kuwa Kuna mlima mkubwa Afrika?
Au wewe ulitaka huyo mzungu asemeje kwa wenzie?
Huoni unajichonganisha na walioteuliwa kabla ya huyo jokate.
Siku wakipata vyeo vikubwa kushinda hicho Cha jokate utaweka wapi sura yako?
Usutukuze mtu kupita kiasi hujui kesho yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.